Udom,tumefiwa,

Udom,tumefiwa,

May his soul rest in peace!
Ashes to ashes!Belivdat

P.S.Inauma kwamba ndio alikuwa mwaka wake wa mwisho kabla ya kula aida ya elimu yake!
 
Taratibu znafanyka ili kama kuna uwezekano mwili uwezwe kuagwa,na pia wafanye kusafilishwa, , ckutaka kutaja jina ,kwa sababu, hvyo ni raphael yohana,BED PPM,3rd year ,alikuwa anakaa block h.HAPA colege ya educatn.R.I.P. nimtu wa kigoma.,
 
Ndo tupo kumuaga mwenzetu,kwa mara ya mwisho,tukiwa na mioyo na sura za majonzi, MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA ,AMEN. bwana alitoa na ametwaa pia, R.I.P.
 
Mungu ailaze roho ya marehemu Raphael Yohana Mahali pema peponi.Ameni
 
Ndo tupo kumuaga mwenzetu,kwa mara ya mwisho,tukiwa na mioyo na sura za majonzi, MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA ,AMEN. bwana alitoa na ametwaa pia, R.I.P.

MKUU mnaagia wapi chimwaga ama?
 
MKUU mnaagia wapi chimwaga ama?

hawakuweza kupeleka chmwaga coz kuna maandalz ya mahafal,hvyo tuliagia hapa colge ya educatn MBELE YA LIBRARY ,na hv sasa kasafilshwa kwenda kwao kigoma,,
 
Habar wana jf wenzangu,mida ya saa kumi jion kuelekea sa kumi na moja, mwanafunz mmoja mwaka wa tatu aliaga dunia ,baada ya kuanguka ghafla akiwa chumban mwake, habar zilizotolewa na baadh ya wana room znasema alikuwa hajiskii vizur hvo akaamua kwenda kujipumzsha chumban kwake,alipofka ndo akawa ameanguka ghafla ,wakampeleka hosptal ya chuo,kufka akawa ameaga dunia,tukio limetokea colege ya education . MUNGU AMLAZE MAHAL PEMA, AMEN.

Rest in peace!
 
Back
Top Bottom