Udom udom udom

NJALI

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
1,534
Reaction score
1,090
Hivi wana janvi kwanini chuo kikuu cha Dodoma huwa wahadhiri wake hawatoi maoni kuhusu mambo mbali mbali yanayotokea kwenye jamii?. Kuna maprofesa wengi, madokta wengi na hata wenye masters wengi pia. Je matatizo haya hawa yaoni? Au wanamuogopa Mlacha atawatimua kazi? Au ndio chuo cha kata? Kumbukeni Nyerere alisha sema "chuo kikuu kinacho zalisha watu wasio hoji hakifai kuitwa chuo kikuu bora kikafungwa"!!
 
!
!
udom ni chuo kikuu kumbe?!
nilijua ni sekondari maana wanaomaliza pale,duh!
kuna barua ya hro wangu amemaliza hapo natamani kuattach barua yake aliyoniandikia muda mrefu lakini naogopaogopa. Siku nikichukia nitaituma humu.
Udom ni bomu kabis@
 

Acha ubinafsi na chuki zisizo na msingi wala maslahi! Ww hujasoma hapo umesoma the best uni kwako huna cha. Kupoteza kwa nini udisi wengine! Wale mliobaatisha ndo zenu
 
Wewe umesoma university gani unaandika kama kirumi? Au ndio UDOM "B"
 
!
!
udom ni chuo kikuu kumbe?!
nilijua ni sekondari maana wanaomaliza pale,duh!
kuna barua ya hro wangu amemaliza hapo natamani kuattach barua yake aliyoniandikia muda mrefu lakini naogopaogopa. Siku nikichukia nitaituma humu.
Udom ni bomu kabis@

Watu kama wewe ndo wale wanaishinda vijiweni..Sasa ulitaka kusema nini hapa?Kwamba UDOM si Chuo kikuu?then Chuo kikuu ni nini?
Haya sasa matokeo ya Form 2 yametoka..jmumeshaona ile 13 yako uliyopata kwenye pepa la Hesabu?
Acha Ungese mkuu..kuna watu wanaendesha maisha yao na familia zao kwa vyeti vya hicho chuo unachokidharau wewe kilaza.
 
udom chuo kizuri, nadhani hao jamaa wamejielekeza zaidi kwenye kukiimarisha chuo kwanza maana chuo ni kichanga na wote ni waajiriwa wapya. Katika current university rank ya vyuo bora UDSM ni chuo cha nne africa nzima.ngio maana lazima uone tofauti na vyuo vingine katika mambo mengi tu.

lakini umetoa wazo zuri, umefika wakati na wao tuwasikie wakitoa maoni yao kitaalam kuhusu mambo mbalimbali ya kuleta maendeleo nchini.
 
Acha ubinafsi na chuki zisizo na msingi wala maslahi! Ww hujasoma hapo umesoma the best uni kwako huna cha. Kupoteza kwa nini udisi wengine! Wale mliobaatisha ndo zenu

!
!
samahani lakini,ila wawakilishi wenu huku mtaani ni majanga. Nilikuwa na demu wangu huko,na yeye duh kumkichwa ni sifuri ila nae kahitimu eti. Dah......hivi wanafundishaje pale!au mitihani hakuna imefutwa?mh
 
Acha ubinafsi na chuki zisizo na msingi wala maslahi! Ww hujasoma hapo umesoma the best uni kwako huna cha. Kupoteza kwa nini udisi wengine! Wale mliobaatisha ndo zenu

!
!
samahani lakini,ila wawakilishi wenu huku mtaani ni majanga. Nilikuwa na demu wangu huko,na yeye duh kumkichwa ni sifuri ila nae kahitimu eti. Dah......hivi wanafundishaje pale!au mitihani hakuna imefutwa?mh
 

!
!
najua,ila nikiwa mwajili mhitimu wa udom nitamlinganisha form six au fresh mwenye cheti......hakuna kitu yani wahitimu wao,yupo mmoja napiga nae hapa. Huwa najiuliza alikuwa anafanya vipi assignment huyu?au research? halafu kafaulu,duh. Only in Tanzania
 
Japo nilichuo langu hakuan kitu hapa, wamejaa maspy na makada tu kazi kufukuzana na madada ambao hawvai madela, watu safi wanakimbia na kuna tetesi Kinabo anaachia ngazi , kikwazo ni mlacha
 

Mi nawafahamu jamaa kibao waliohitimu UDSM,yaani aibu tupu,nitakuelewa kama umesoma ulaya ama Marekani lakini kama unaringia degree ya hicho chuo cha manzese basi huna jipya
 
Lakini wahitimu mnaowabeza humu wamepita mikononi mwa wahadhiri ambao wengi wao wamesoma katika hivyo vyuo mnavyoita bora kuliko vingine, tatizo litakuwa wapi???!!!!
 
 
You have a good idea but do this government of outs know that. Even those profs and docts the got their certificate just by appreciation to be a students from were they got those qualities.
 
!
!
ila nadhani kwa majengo mko poa tu sana, ngoma gorofani halmashaurini mwa wahitimu wake dah dah dah dah nadhani dhana ya vyuo vya kata ilizaliwa hapa.
 
!
!
udom ni chuo kikuu kumbe?!
nilijua ni sekondari maana wanaomaliza pale,duh!
kuna barua ya hro wangu amemaliza hapo natamani kuattach barua yake aliyoniandikia muda mrefu lakini naogopaogopa. Siku nikichukia nitaituma humu.
Udom ni bomu kabis@
Kijana nadhani unashindwa kuelewa mambo kwa upana wake,huwezi kutumia sample ya watu wawili watatu kufanya generalization km hiyo ya kwako. Kuna watu mimi nawafahamu walimaza UDOM na wako smart na kuna watu nawafahamu walimaliza UDSM<SUA n.k lkn hamna kitu.U-smart wa mhitimu largely inategemeana na yeye mwenyewe,umahiri wa ma-lecturer una mchango mdogo.Kuna kijana wa UDOM namfahamu sasa hivi yuko Harvard anafanya PhD tena ni joint program kati ya Harvard na Hong Kong University.Hivi ni vyuo bora kabisa duniani na vinavyoongoza katika mabara yao kwa weledi,sasa swali la kujiuliza,huyo kijana amefikaje huko km kweli wahitimu wa huko ni vilaza? Kijana unapochangia kwenye jukwaa kama hili lnye watu makini jaribu kutumia kichwa zaidi na sio moyo wala ma------
Take it or leave it but that's the fact
 
Udom to be honest academically wako safi, kinacho jadiliwa hapa ni hao wahadhiri wao mbona wako dormant sana katika kutoa changamoto zinazo ikabili jamii? Mfano katiba mpya, kupaa kwa bei ya umeme, mfumuko wa bei, matokeo ya kidato cha pili,mfumo wa elimu nchini. Wengi wa maprof wa udom walikuwa UDSM tena wakiwa na vyeo sasa whats wrong to them? Wanaogopa? Kanuni haziruhusu? Wataambiwa wanaleta siasa? Matatizo haya ya kijamii hayawahusu? Au Mlacha anawapiga mkwara?
 
!
!
samahani lakini,ila wawakilishi wenu huku mtaani ni majanga. Nilikuwa na demu wangu huko,na yeye duh kumkichwa ni sifuri ila nae kahitimu eti. Dah......hivi wanafundishaje pale!au mitihani hakuna imefutwa?mh

Unawasimamia kucha aisee,chuo chao bado kichanga bana, tuwasubiri miaka kadhaa ijayo sasa hivi wanyamazie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…