Udsm enzi zenu ziliisha isha Hacheni UDOM,iitwe Udom,kadri siku zinavyo pita hadi mtasahaurika,ila msijari.
Hacha kuota, unadhani mgomo ni chuo kizima? Hiki chuo sio shule ya kata mdogo wangu.Nyie ndio mnaofanya UDOM idharauliwe kutokana na thread za kitoto kama hizi...kuandika kwenye kunakusumbua hadi inatia shaka umefikaje fikaje hapo.hebu nenda kwenye mgomo wenu na utuondolee ujinga wako hapa.
Iloganzala;Udsm enzi zenu ziliisha isha Hacheni UDOM,iitwe Udom,kadri siku zinavyo pita hadi mtasahaurika,ila msijari.
Udsm enzi zenu ziliisha isha Hacheni UDOM,iitwe Udom,kadri siku zinavyo pita hadi mtasahaurika,ila msijari.
Mhh kama sikosei watokea Kagera wewe!!! Athari za Lugha ya Mama, Badala ya kuandika ACHA, watuandikia HACHA, Iweeeee!!!!!!!Hacha kuota, unadhani mgomo ni chuo kizima? Hiki chuo sio shule ya kata mdogo wangu.
napata mashaka sana kama thread hii imeandikwa na msomi wa chuo kikuu kwa kiswahili kibovu hivi,wewe ndo unasababisha chuo chenu kionekane hewa tu!Hacha kuota, unadhani mgomo ni chuo kizima? Hiki chuo sio shule ya kata mdogo wangu.
Mwalimu alikuwa mmoja tu naye alisha kufa.Acheni ujinga wa kushabikia udom vs udsm. Kuna matatizo ya kimsingi yakushughulikia. Mkimjibu zuzu kama huyu ni ujinga. Ni kama yule mtu alikua anaoga mtoni halafu kichaa akakwapua nguo zake halafu akaanza kumkimbiza uchi mtaani. Kati yao nani ataonekana kichaa?
Wewe unaonaje? Swali lako lina uzembe wa kufikilia.uko darasa la ngap wewe?
Hacha kuota, unadhani mgomo ni chuo kizima? Hiki chuo sio shule ya kata mdogo wangu.
Duh!mwacheni jamani huyu jamaa inaonekana ametoroka milembe!!kilichobaki ni kumwombea tu!!Mwalimu alikuwa mmoja tu naye alisha kufa.
Mkuu usishangae hawa ndiyo vilaza wa vyuo vikuu vya siku hizi!!it is very shameful!!We ni mwanafunzi wa UDOM au mtoto wa mfanyakazi wa UDOM?..........Kama ni mwanafunzi......khaa! Elimu ya siku hizi basi itakuwa imefika kwenye kilele cha shimo!
Angalia na wewe usije ukasahauRIka, ila usijaRI.Udsm enzi zenu ziliisha isha Hacheni UDOM,iitwe Udom,kadri siku zinavyo pita hadi mtasahaurika,ila msijari.