Mimi nasubiri jibu la swali hili,maana mpaka sasa sijui itakuwaje kesho nitakapofika huko?kwanza sikujui hivyo nahisi nitapigwa pesa nyingi mpaka kufika huko chuoni toka stand,Pia inasemekana husiposajiliwa huruhusiwi kulala chuoni kwahiyo kulala ni GUEST HOUSE tu.SASA TATIZO LINAKUJA MIMI POCKET MONEY YANGU NI NDOGO SANA NITASAIDIWA NA NANI? Ingekuwa vizuri sana kama kaka/dada zetu wakawepo maana tungewaambia hali zetu halisi kiuchumi labda wangetuelewa kwa kutupokea,kutushauri na kutuhifadhi hata kama kwa siri mpaka tutakapokamilisha usajili wetu.NAOMBENI MSAADA WENU WAKUU,IWE "MORAL OR MATERIAL SUPPORT" Nawasilisha!