tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Nimefuatilia kwa makini hii kashfa ya ngono isiyo halali Udom nimegundua mwandishi wa habari hizo hakufanya uchunguzi wa kina hivyo hana hoja (no research no say) anataka kuchafua sifa nzuri ya chuo hicho.
sifa nzuri ipi mkuu inayotaka kuchafuliwa?