Hata education pia UDOM wako very systematic na course zao ni applicable wa ulimwengu wa sasaKwenye mambo ya tehama hapa Tanzania Udom haina mpinzani.
Ila kwenye course zingine ni ujinga mtupu.
Mbona hawana ajira sisi tuko tunapiga hela au huoni wanafunzi wa Udom mtaani wanaungua jua.Hata education pia UDOM wako very systematic na course zao ni applicable wa ulimwengu wa sasa
Kata gani?Chuo Cha kata hicho, kingefanywa gereza tu
NimeshangaaHaya mambo bado yapo mpaka karne hii ya 21?
Acheni JamaniKata gani?