Vijana wa udom kwenye tehama Ata Mimi na wakubali Sana wapo vizuri
Ila Ata kwenye elimu na jamaa angu ni headmaster ananiambiaga wapo vizuri Sana
Nahisi kilichokuwa kinahiaribia ni uongozi uliokuwepo hapo awali
Sent from my TECNO B1p using
JamiiForums mobile app