Udom;we have serious problems at all universities, i dont know where to start rectifying

Udom;we have serious problems at all universities, i dont know where to start rectifying

msomi mziuri ni yule anayejibu hoja kwa hoja na si kwa majibu ya kujilinda, kebehi au kujibu hoja inayolenga kujenga au kuonyesha mapungufu ndani ya mifumo yetu kwa majibu yanayoonyesha mahaba ya wazi. kuna watu walikuwa na uwezo ndogo, we
 
(naendeleza nilipoiahia hapo juu) wengine walifauru kwa ushawishi wa majina ya familia zao na wengine kwa kuvua chupi na wapo vyuoni kama wakufunzi na wengine kwenye taasisi nyeti wakati utendaji na uelewa wao ni mdogo. kama umebahatika kusoma au kufundishwa na lecturer wa vyuo vinavyoeleweka ughaibuni (ulaya na usa) au hata baadhi ya wakufunzi wetu hapa nchini kutoka vyuo vinavyoeleweka eg sua, udsm, aru, muhasi utaelewa mtoa mada anachokiongea. jibu hoja kwa hoja matusi na hoja za nguvu badala ya nguvu ya hoja ni dalili kutojiamini.
 
We rolla,nawe umechangia kiushabiki,wakufunz wa chuo hik asilmia 99 wamesoma au walikuwa wanafundisha UDSM &SUA .
 
We rolla,mi niko UDOM COED,hakuna lekcha hata 1 aliyesoma hapa,kama wanashida,bas ni malez ya walikokuwa wanafanya kaz.
 
Lakini mnaolalamika mlifeli chuo kwa kushindwa kupata gpa nzuri ya kurudi kufundisha

Kwani performance ya mtu baada ya kumaliza shule inaongozwa na GPA yake tu? I hope tunaweza kuangalia mambo zaidi ya pale tunapolazimisha kila mtu apaone.
 
Rolla,ukwel ni kwamba wakufnz wazur/wabov kama wanafunz,wapo vyuo vyote.Futa neno VINAVYOELEWEKA,na utaitwa intelectual
 
you are retreating from the atmosphere given by udom,try to be thankful.
You have shown your internal pride by trying to distinguish yourself from your fellows. Do you thing we will judge your claimed mature reasoning only through posting here. Research shows udom is fastest growing university in tz. As civil university and me as tanzanian, am proud of it anyway.
 
Your Words Are True But Im Sure Your Suffered With Emotional Turmoil And I Will Never Applause U For Your Provoke Against These Saints Who Carry Bible, How About Disco? Is It Illegal To Worship God?
 
Umeongea kitu ninachokifikiria kila siku

Mkuu tupo pamoja, Hivi vitu navyoviongea vipo kwenye vyuo vyetu na wanafunzi tunaviongea sana vyumbani sema mtu huwezi jua solution ya tatizo mpaka m-discuss watu wengi ndio unaweza kupata different opinions.
 
Your Words Are True But Im Sure Your Suffered With Emotional Turmoil And I Will Never Applause U For Your Provoke Against These Saints Who Carry Bible, How About Disco? Is It Illegal To Worship God?

Mkuu, this is just a discussion based on my empirical observation. It is not a judgement, if you have the other side of the story, you can put forward and we can share. If you think my attitude towards religious people is intolerable, try to stretch your mind a bit, afterall these religions have been imported. To me, nothing is spared, everything has to stand intellectual scrutiny.
 
you are retreating from the atmosphere given by udom,try to be thankful.
You have shown your internal pride by trying to distinguish yourself from your fellows. Do you thing we will judge your claimed mature reasoning only through posting here. Research shows udom is fastest growing university in tz. As civil university and me as tanzanian, am proud of it anyway.

you seem to be paranoid, Look here, Im using the fake ID, How on earth could you afford to level your judgement on me personally? direct your judgement on the presented materials. This is a dialogue, wake up! we are discussing problems pertaining our universities. UDOM is not maliciously attacked, its only because the author of this thread is pursuing his/her studies at UDOM. If you find people at universities behave/argue/think/reason similar to street mediocre, dont you see the problem? Discuss
 
We rolla,nawe umechangia kiushabiki,wakufunz wa chuo hik asilmia 99 wamesoma au walikuwa wanafundisha UDSM &SUA .

Ndio maana nimesema hili tatizo ni kwa vyuo vyote starting na UDSM ambako ndio chuo cha mwanzo hivyo wakufunzi wengi wametokea huko. lazima system ya kuwapata ma-lecturer iwe reviewed.
 
(naendeleza nilipoiahia hapo juu) wengine walifauru kwa ushawishi wa majina ya familia zao na wengine kwa kuvua chupi na wapo vyuoni kama wakufunzi na wengine kwenye taasisi nyeti wakati utendaji na uelewa wao ni mdogo. kama umebahatika kusoma au kufundishwa na lecturer wa vyuo vinavyoeleweka ughaibuni (ulaya na usa) au hata baadhi ya wakufunzi wetu hapa nchini kutoka vyuo vinavyoeleweka eg sua, udsm, aru, muhasi utaelewa mtoa mada anachokiongea. jibu hoja kwa hoja matusi na hoja za nguvu badala ya nguvu ya hoja ni dalili kutojiamini.

Tell them, we need maturity. This is a forum for discussion. These type of problems we are discussing, can only be solved through discussion and not strike, it's hard to mobilize students to boycott for lecturer's incompetence. But it's very easy to organize them for delay of boom. So, you never know, may be through discussion, decision makers can grasp some concrete points here, and later work on them.
 
ndugu yangu nambogo sijui ili umuite mtu intellectual unaangalia nini? husiwe na wasiwasi na mimi, i am the alumni of prestigious univarsties udsm, Berkeley and not less than two institutes recognised by the European union academic authorities, sikuwai kufeli katika mtihani wowote katika level yoyote. nina wastani mzuri wa kusoma vitabu na makala ya waandishi maarufu duniani na ninamudu kwa kiwango kinachokubalika lugha 3 za kimataifa ukiondoa kiswahili na kiingereza. kwa ufupi sipo babaya kitaaluma na kimaisha . nambogo tujenge utamaduni wa kujadili hoja na si kujadili personalities maana sisi hatujuani kwa sura bali kama members wa jf kupitia ushiriki wetu kwenye jukwaa.
 
rolla!recognized internationally?!with childish argument!attach your cv here.Your argument does not reflect what u say
 
Rolla,overintroducing yourself doesnt matter,but your narrow minded argument, tells us a lot.
 
This is a valid argument. Sometimes I wonder what our universities are turning into. Considering the docile acquiescence the student are showing, its shocking what kind of intellectuals are we preparing for future generation. When university students resorts to prayers instead of tackling the monumental challenges faced by our country, we are in real trouble. Methinks, the root of the problem originate way back from primary school through high school and finally settles at the university. Something need to be done by overhauling our education systems and making sure we are inline with other nations who have done so with tremendous success.
 
We really have serious problem at our universities nowdays. Patterns of students available at universities nowdays lack intellectual skills. I think the way they behave reflects the characters of their instructors. They have poor level of reasoning at its best. I think the system of retaining Tutorial Assistants (TA) should be evaluated again, assessment should not base on GPA only, rather should also focus on individual ability to present or deliver knowledge. Because earning good GPA can mean different things to different people and environment. Some students are good in cheating, some are good in reproducing notes and some are good in both, We need people who understand and can explain the same knowledge in their own words to be retained at universities.

I have a feeling that, these lecturers especially junior lecturers who instruct students to reproduce notes in the exams have passed the rotten system to acquire their titles. Also they have another constraint which is very destructive for breeding future intellectual, they are very reluctant to absorb challenges from their students, they are not mentally prepared to accommodate challenges and I am victim of this shortcoming. When they are faced with students who offer wide ranges of challenges, alternatives or second opinion, they become aggressive and suppress that young mind. If the student pushes the boundary, the result is always discontinuation or plenty of sups.

At university, young minds are provoked to think independently, students are only equipped with different tools for situational analysis. If you find at university, students are organizing "makongamano ya kuombea amani ya nchi, makongamano ya kumuomba mungu aliepushe taifa na mafuriko, ajali za barabarani, rushwa, magonjwa ya milipuko n.k" conclude, that is a dormant univ. How could an active mind univ. students look for supernatural solution for problems which have scientific explanation? Most of univ. students nowdays are too religious, this signifies that their brains have not been unlocked, they are still narrow minded. They are too spiritual, they can defend their beliefs to death. If you come to UDOM on sunday, you will think this is ST. UDOM univ, students are busy with their bibles going to pray, asking god to pass their exams. I always wonder where is the problem with these young mind? Can we get great thinkers out of this population? Come on friday, the same story, it is as if you have visited afghanstan. Generation that look for simple solution to the critical issues. If you get Instructors from this population, what kind of lecturers do you expect them to be?

I will be raising different issues currently pertaining our universities taking UDOM as a prototype. The way different students and ex-students contributed to my previous thread titled "tabia ya kugawa maksi za coursework UDOM" drove me to come up with this analytical thread. Ni hayo tu kwa leo.

Msomi ndo hana Imani!?
kutokuamini kma Mungu yupo ndo kunajufanya uonekane msomi!?
vizur umesema watu wanasali muda wa ibada je unajua huo muda mwingine anafanya nn!?
 
This is a valid argument. Sometimes I wonder what our universities are turning into. Considering the docile acquiescence the student are showing, its shocking what kind of intellectuals are we preparing for future generation. When university students resorts to prayers instead of tackling the monumental challenges faced by our country, we are in real trouble. Methinks, the root of the problem originate way back from primary school through high school and finally settles at the university. Something need to be done by overhauling our education systems and making sure we are inline with other nations who have done so with tremendous success.

I fully concur with your insight. thanks
 
Back
Top Bottom