Rushwa imeingilia kila kitu, chuo kama UDOM siyo chuo cha kukosa wanafunzi, kuna chuo fulani hapa nchini mwaka huu kimepewa wanafunzi wengi sana zaidi ya elfu 1 na upuuzi baada ya waziri mwenye dhamana kupewa fungu la kutosha na mkuru wa tcu kula mgao wake, cheza wewe hii nd' Tz
Siyo lazima wadahili watu wa shahada.....kuna stashahada, na cheti hizi kada za kati nazo muhimu zinatakiwa....
kwa maelezo yaliyotolewa na makamu mkuu wa wa chuo kikuu cha dodoma (UDOM), anasema kuwa matokeo mabaya ya kidato cha nne na sita kimesababisha UDOM kukosa idadi ya kutosha ya wanafunzi kulingana na uwezo wa chuo hicho
SOURCE, TBC-Taifa ( dira ya mchana) oct 8, 2013
Nikileta habari kamili huyu mtu aliyevujisha hii kitu kitumbua chake kitaingia mchanga na watamng'oa meno bila ganzi.... ila hiki chuo ni cha kufanyiwa kazi!Mkuu hebu lete habari kamili hapa tuokoe nchi yetu kwa hao wapenda mgao wa mafungu yao