kwa maelezo yaliyotolewa na makamu mkuu wa wa chuo kikuu cha dodoma (UDOM), anasema kuwa matokeo mabaya ya kidato cha nne na sita kimesababisha UDOM kukosa idadi ya kutosha ya wanafunzi kulingana na uwezo wa chuo hicho
SOURCE, TBC-Taifa ( dira ya mchana) oct 8, 2013
SOURCE, TBC-Taifa ( dira ya mchana) oct 8, 2013