UDOM yatapika wanafunzi zaidi ya elfu mbili

UDOM yatapika wanafunzi zaidi ya elfu mbili

walikuwa admitted lakini chuo wanasema nafasi zimejaa,inackitisha kutokuwa na mawasiliano kati ya chuo na tcu!
Hebu elezea kwa undani kidogo maana hii ishu ni kubwa kwa sisi wenye ndugu waliochaguliwa huko UDOM!
 
Hamna kitu kama icho,mimi nimeripoti na hakuna mtu aliyerudi labda kama hajalipa ada ila wote wamesailiwa
 
watu wameenda na ada zao tayar kwa kuanza masomo,lakin wakaambiwa nafac zmejaa tumeyarudisha majina yenu tcu,huo ndio ukwel,kozi nying zimechukua watu weng kupitiliza,nlichokiona mm kwnye karatac fulan tcu ni COLLEGE OF.... -2810,bado nyngne hapo,sasa hiko ki negative kina maanisha nn?
 
Watanzania kwa kupenda umaarufu wa bei rahisi
 
Back
Top Bottom