pa 1 mkuuHatimaye zimebakia siku tatu for the first tym kwenda kushuhudia chuo kikuu,ninahamu sana ya kufika dom kwakuanza safari nyingine ya makamuzi lengo Gpa.GOD SIMAMIA Mm.
hatimaye zimebakia siku tatu for the first tym kwenda kushuhudia chuo kikuu,ninahamu sana ya kufika dom kwakuanza safari nyingine ya makamuzi lengo gpa.god simamia mm.
Pole sana udom ni janga la taifa,chuo cha kata wala sina hamu na udom
Pole sana udom ni janga la taifa,chuo cha kata wala sina hamu na udom
akili yako finyu sana, inawezekana hata udom kwenyewe haujafika.
Hakuna chuo mfano wake afrika mashariki na kati.
Madogo nendeni mkasome, mwisho wa siku inaangaliwa ufaulu wako na wala sio chuo ulichosoma.
Udom sasahivi imeimarika sana, miundombinu yote imeshakamilika, kuanzia malazi, maktaba, maabara, usafiri, waalim, viwanja vya michezo mpaka mabwawa ya kuogelea.
Mkifika msibabaishwe na mapenzi manake kuna maelfu ya mabinti wa kila namna,
komaeni mtengeneze gpa.
Ulevi na wanawake ndio mtihani mkubwa.
All the best!
Pole sana udom ni janga la taifa,chuo cha kata wala sina hamu na udom
Pole sana udom ni janga la taifa,chuo cha kata wala sina hamu na udom
akili yako finyu sana, inawezekana hata udom kwenyewe haujafika.
Hakuna chuo mfano wake afrika mashariki na kati.
Madogo nendeni mkasome, mwisho wa siku inaangaliwa ufaulu wako na wala sio chuo ulichosoma.
Udom sasahivi imeimarika sana, miundombinu yote imeshakamilika, kuanzia malazi, maktaba, maabara, usafiri, waalim, viwanja vya michezo mpaka mabwawa ya kuogelea.
Mkifika msibabaishwe na mapenzi manake kuna maelfu ya mabinti wa kila namna,
komaeni mtengeneze gpa.
Ulevi na wanawake ndio mtihani mkubwa.
All the best!
Huo ni mfumo dume, kwanini unawausia wanaume tu ilhali wanafunzi waaokwenda kusoma vyuoni ni wanaume na wanawake?
Pole sana udom ni janga la taifa,chuo cha kata wala sina hamu na udom