CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,240
Zimebakia siku chache for the first tym vijana wapya kwenda kushuhudia na kupata elimu ya chuo kikuu,vijana wanahamu sana ya kufika dodoma university kwakuanza safari nyingine ya makamuzi lengo Gpa.GOD SIMAMIA vijana kupata elimu ili kujikomboa na kulikomboa taifa hili.