kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ulikuwa na lengo la ku-publish tu matokeo ya vijana, maana sababu uliyotoa haina nguvu, sidhani kama umeangalia average ya total marks! Mimi naona ziko fair tu, na hakukuwapo sababu ya kuyaweka humuHaya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
Lakini ilikuwa Halali yako ,hizo marks ?KUNA MWALIMU MMOJA ANAITWA BWANA SIASA ISSA MZENZI.DAH HUYU JAMAAAAAAAAAAAA KIDOGO ANILE KICHWA MWAKA 2007
UDSM ninayoijua mm ndo hiiHaya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
Upo mbioni kusupp,Haya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
Tupe uzoefu wa vyuo vingine - UDOM, MU, AU, IFM, etc. Mark 1 sio kawaida?Haya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
Ukiwa bishoo bila kujisomea na kuelewa usitegemee muujizaHaya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
Naona wanafunzi wa jalalani wamefeli!Haya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?