UDSM acheni kuharibia vijana future zao

UDSM acheni kuharibia vijana future zao

Haya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
Nadhani ulikuwa na lengo la ku-publish tu matokeo ya vijana, maana sababu uliyotoa haina nguvu, sidhani kama umeangalia average ya total marks! Mimi naona ziko fair tu, na hakukuwapo sababu ya kuyaweka humu
 
Haya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
UDSM ninayoijua mm ndo hii
 
Haya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
Tupe uzoefu wa vyuo vingine - UDOM, MU, AU, IFM, etc. Mark 1 sio kawaida?
 
Haya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
Ukiwa bishoo bila kujisomea na kuelewa usitegemee muujiza
 
Haya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
Naona wanafunzi wa jalalani wamefeli!

Sasa hiyo ni account sijui kule COeT hali ikoje!
 
Back
Top Bottom