Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Du mwendo mchibuyu kama mbwai mbwai bil 64 wamezichakachua hv hv..Komaeni ila hakikisheni mnachoma hata Jengo moja la utawala.
kesho shughuri iko palepale hadi kieleweke.
Hiyo ni kweli kabisa maana maazimio yaliyopitishwa na wana udsm usiku huu hapa mabibo hostel ni kua kesho uongozi wote wa DARUSO kung'olewa madarakani na mpambano unaanza saa 2 asubuhi. Jamani mimi raia tu, nawatakieni usiku mwema.
kutokana na kile walichokiita ufisadi na uzembe wa serikali ya wanafunzi, uma wa udsm umeadhimia kuiondoa daruso rasmi kuanzia kesho,kwani tokea migomo na maandamano vianze daruso aijawai kushiri..
Hadi sasa hali ni mbaya na tete maandamano mwanzo mwisho,vyakula vimeliwa bure cafeteria ile ya yombo.fimbo hadi vyumbani,waliokua madarasani saa 1 jioni (sasa hivi) wamepigika ile mbaya.kwa ufupi hapafai..
Mbona maandishi yenu yanatia shaka kama kweli ni wanachuo? Duuh, watu wanashtuka kusikia mwanafunzi wa darasa la saba hajui kusoma, lakini hiyo naona ni similar tu na hayo maandishi!
Mkuu kumbe nawe uko udsm
niko hall six mkuu..vipi na wewe huko hapa UDSM?
niko mabibo block d floor ya kwanza,room number....
Elimu haijawakomboa.
niko mabibo block d floor ya kwanza,room number....