Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
- Thread starter
- #21
Elimu haijawakomboa.
wewe umeoza na unanuka,mkeo hajakwambia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu haijawakomboa.
Sir, How did you kill 50
people in a
car accident? The police
man
asked?, He replied: i was
driving 40mph, when i tried to
stop i
found out that i have no
breaks,
and i saw two men
walking on the street and a wedding on
the
other side of the street,
who
should i hit? The police
man answered: of course the
two
men,less damage. Man
said: that's what i
thought to
myself, but when i did it, i hit only
one and the other one
ran to the wedding, SO I
WENT
AFTER HIM..
Elimu haijawakomboa.
Nakumbuka hall II
floor ya 8,rum namba 432,
Jirani zangu hall V Na hol III,
haya g0men
nakumbuka hall 5, floor ya 11..rum namba 1378
Duh,lile jengo nilikua nali0gopa sana
pale 11th floor ilikuwa inakuwa balaa lift zikigoma, ukisahau daftari ni bora ununue jipya.
pale 11th floor ilikuwa inakuwa balaa lift zikigoma, ukisahau daftari ni bora ununue jipya.
floor ya 11 ni sawa na kuish mabibo kwani nyote mkisha toka hakuna kurudi hadi masomo yaishe.
mgomo unaendelea na police wametanda maeneo ya ubungo kuelekea chuo.leo ni zamu ya coeti kunji la leo linaonekana kufana,coet wote wanaandamana kwenye viunga vya chuo..kwa hali iliyopo inaonekana coet wengi wao wamenyimwa boom lilitoka jana,huu ubaguzi sijui umetoka wapi yaana cass wanapata wote boom lakini coet hawapewi..
Du mwendo mchibuyu kama mbwai mbwai bil 64 wamezichakachua hv hv..Komaeni ila hakikisheni mnachoma hata Jengo moja la utawala.
kutokana na kile walichokiita ufisadi na uzembe wa serikali ya wanafunzi, uma wa udsm umeadhimia kuiondoa daruso rasmi kuanzia kesho,kwani tokea migomo na maandamano vianze daruso aijawai kushiriki..
Hadi sasa hali ni mbaya na tete maandamano mwanzo mwisho,vyakula vimeliwa bure cafeteria ile ya yombo.fimbo hadi vyumbani,waliokua madarasani saa 1 jioni (sasa hivi) wamepigika ile mbaya.kwa ufupi hapafai..
Hebu nifafanue utaratibu mpya wa UTOAJ MIKOPO
si kweli kwamba DARUSO haifanyi chochote. Tangu chaos zianze kumekuwa na vikao zaidi ya 20 kuhakikisha boom linaingia kwa muda ili kukinusuru chuo na mgomo. Kuhusu waliosimamishwa ni kuwa Ijumaa ilikuwa imeafikiwa kuwa wale wenye kesi warudi masomoni mpaka kesi zao zitakapokwisha. Forth they say 'Everybody is innocent untill proven guilty(na mahakama I guess)'.
Labda ungeniambia kuwa juhudi zao zimekuwa ni ndogo na hazijaleta matunda adequate na accurate.
yaani kilichotekea ni kwamba jana baada ya wanachuo kupiga kambi utawala,saa 7 mchana CASS NA College nyingne wakapewa ela,lakini COET wao hawakupata,ndo maana leo wamepachua tena hadi sasa hakuna huduma ya chakura wa masomo kuendelea,inasemekana ela zinafanyiwa biashara sasa baada ya hali ya hewa kuchafuka jana,utawala wakapima mchezo wakagundua wakiwanyima CASS hali itakua mbaya zaidi,wakawapa wao COET wakakosa.
wanadai kipindi kile cha uongozi wa kipara,viongozi walijitokeza waziwazi kutoa misimamo na juhudi za hadharani,lakini huu uongozi wa kilawa ni legelege zaidi kwani wao wanaishia kuweka mabandiko lakini hawajitokezi kuongea na wanaowaongoza hasahasa kipindi hiki cha matatizo.
wanadai kipindi kile cha uongozi wa kipara,viongozi walijitokeza waziwazi kutoa misimamo na juhudi za hadharani,lakini huu uongozi wa kilawa ni legelege zaidi kwani wao wanaishia kuweka mabandiko lakini hawajitokezi kuongea na wanaowaongoza hasahasa kipindi hiki cha matatizo.