UDSM.baada ya boom kuingia leo mchana sasa ni zamu daruso(serikali wa wanafunzi) kung'olewa

UDSM.baada ya boom kuingia leo mchana sasa ni zamu daruso(serikali wa wanafunzi) kung'olewa

Sir, How did you kill 50
people in a
car accident? The police
man
asked?, He replied: i was
driving 40mph, when i tried to
stop i
found out that i have no
breaks,
and i saw two men
walking on the street and a wedding on
the
other side of the street,
who
should i hit? The police
man answered: of course the
two
men,less damage. Man
said: that's what i
thought to
myself, but when i did it, i hit only
one and the other one
ran to the wedding, SO I
WENT
AFTER HIM..

makubwa heli nusu shali.
 
waliomaliza zamani,sikuizi kuna majengo mapya ya mchina dizaini ya yale ya Udom yanaitwa yombo4 na yombo5..hayana mwaka yana nyufa.
 
mgomo unaendelea na police wametanda maeneo ya ubungo kuelekea chuo.leo ni zamu ya coeti kunji la leo linaonekana kufana,coet wote wanaandamana kwenye viunga vya chuo..kwa hali iliyopo inaonekana coet wengi wao wamenyimwa boom lilitoka jana,huu ubaguzi sijui umetoka wapi yaana cass wanapata wote boom lakini coet hawapewi..
 
Hebu nifafanue utaratibu mpya wa UTOAJ MIKOPO
mgomo unaendelea na police wametanda maeneo ya ubungo kuelekea chuo.leo ni zamu ya coeti kunji la leo linaonekana kufana,coet wote wanaandamana kwenye viunga vya chuo..kwa hali iliyopo inaonekana coet wengi wao wamenyimwa boom lilitoka jana,huu ubaguzi sijui umetoka wapi yaana cass wanapata wote boom lakini coet hawapewi..
 
Du mwendo mchibuyu kama mbwai mbwai bil 64 wamezichakachua hv hv..Komaeni ila hakikisheni mnachoma hata Jengo moja la utawala.

bil. 64 zitarudi kwa wanafunzi kuwachapa wenzao walioko madarasani?
Be reasonable mkaka, harakati hizi kwangu huwa ni mmavi mmavi. Huwezi kuleta boom kwa kulazimisha watu wakuunge mkono.
Mbona Al-Shaabab alimwaga sera za kueleweka, watu wakaitikia bila kulazimishwa!
 
kutokana na kile walichokiita ufisadi na uzembe wa serikali ya wanafunzi, uma wa udsm umeadhimia kuiondoa daruso rasmi kuanzia kesho,kwani tokea migomo na maandamano vianze daruso aijawai kushiriki..

Hadi sasa hali ni mbaya na tete maandamano mwanzo mwisho,vyakula vimeliwa bure cafeteria ile ya yombo.fimbo hadi vyumbani,waliokua madarasani saa 1 jioni (sasa hivi) wamepigika ile mbaya.kwa ufupi hapafai..

si kweli kwamba DARUSO haifanyi chochote. Tangu chaos zianze kumekuwa na vikao zaidi ya 20 kuhakikisha boom linaingia kwa muda ili kukinusuru chuo na mgomo. Kuhusu waliosimamishwa ni kuwa Ijumaa ilikuwa imeafikiwa kuwa wale wenye kesi warudi masomoni mpaka kesi zao zitakapokwisha. Forth they say 'Everybody is innocent untill proven guilty(na mahakama I guess)'.
Labda ungeniambia kuwa juhudi zao zimekuwa ni ndogo na hazijaleta matunda adequate na accurate.
 
Hebu nifafanue utaratibu mpya wa UTOAJ MIKOPO

yaani kilichotekea ni kwamba jana baada ya wanachuo kupiga kambi utawala,saa 7 mchana CASS NA College nyingne wakapewa ela,lakini COET wao hawakupata,ndo maana leo wamepachua tena hadi sasa hakuna huduma ya chakura wa masomo kuendelea,inasemekana ela zinafanyiwa biashara sasa baada ya hali ya hewa kuchafuka jana,utawala wakapima mchezo wakagundua wakiwanyima CASS hali itakua mbaya zaidi,wakawapa wao COET wakakosa.
 
si kweli kwamba DARUSO haifanyi chochote. Tangu chaos zianze kumekuwa na vikao zaidi ya 20 kuhakikisha boom linaingia kwa muda ili kukinusuru chuo na mgomo. Kuhusu waliosimamishwa ni kuwa Ijumaa ilikuwa imeafikiwa kuwa wale wenye kesi warudi masomoni mpaka kesi zao zitakapokwisha. Forth they say 'Everybody is innocent untill proven guilty(na mahakama I guess)'.
Labda ungeniambia kuwa juhudi zao zimekuwa ni ndogo na hazijaleta matunda adequate na accurate.

wanadai kipindi kile cha uongozi wa kipara,viongozi walijitokeza waziwazi kutoa misimamo na juhudi za hadharani,lakini huu uongozi wa kilawa ni legelege zaidi kwani wao wanaishia kuweka mabandiko lakini hawajitokezi kuongea na wanaowaongoza hasahasa kipindi hiki cha matatizo.
 
So u mean hata mkandara anajua kuwa pesa hufanyiwa biashara au ni tetesi
yaani kilichotekea ni kwamba jana baada ya wanachuo kupiga kambi utawala,saa 7 mchana CASS NA College nyingne wakapewa ela,lakini COET wao hawakupata,ndo maana leo wamepachua tena hadi sasa hakuna huduma ya chakura wa masomo kuendelea,inasemekana ela zinafanyiwa biashara sasa baada ya hali ya hewa kuchafuka jana,utawala wakapima mchezo wakagundua wakiwanyima CASS hali itakua mbaya zaidi,wakawapa wao COET wakakosa.
 
Siasa za udsm!
wanadai kipindi kile cha uongozi wa kipara,viongozi walijitokeza waziwazi kutoa misimamo na juhudi za hadharani,lakini huu uongozi wa kilawa ni legelege zaidi kwani wao wanaishia kuweka mabandiko lakini hawajitokezi kuongea na wanaowaongoza hasahasa kipindi hiki cha matatizo.
 
wanadai kipindi kile cha uongozi wa kipara,viongozi walijitokeza waziwazi kutoa misimamo na juhudi za hadharani,lakini huu uongozi wa kilawa ni legelege zaidi kwani wao wanaishia kuweka mabandiko lakini hawajitokezi kuongea na wanaowaongoza hasahasa kipindi hiki cha matatizo.

maybe there comes a problem.
Huwa hawazungumzi na raia, ila kuna siku Spika alikuja rev. square kutoa msimamo wa ofisi yake kuhusu madenti waliofungwa!
 
Back
Top Bottom