Mtumishi Mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 259
- 92
Hata hii ni habari Mkuu.Lakini mimi si pimbi. Ni vyema tukajua hata habari kama hizi ili kuendelea na maisha. Siku nyingine ukiniita pimbi,utajilaumu sana kufanya hivyo!
Una maana ya kuwa hivyo vyuo vyingine vya Tanzania ukitoa UDSM na HKU hata na web visibility umewashinda - havijulikani? Lakini naona wewe hata haujui maana na vigezo vya "web visibility" academically.
Sawa mkuu lakini by any measure UDSM or its alumni have to celebrate thatMkuu mtoa hoja umeangalia criteria wanazotumia?Umeelewa maana ya UNIVERSITY WEB RANKING? Umejua ubora wake ni unatokana na nini?
Hebu soma homepage ya hiyo website ujue criteria wanazotumia.
[TABLE="width: 745, align: center"]
[TR]
[TD][h=5]The aim of this website is to provide an approximate popularity ranking of world Universities and Colleges based upon the popularity of their websites. This is intended to help international students and academic staff to understand how popular a specific University/College is in a foreign country.[/h]
[h=5]We do not claim - by any means - to rank organisations or their programs, by the quality of education or level of services provided. The 4icu.org University Web Ranking is not an academic ranking and should not be adopted as the main criteria for selecting a higher education organization where to study.[/h]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Na watu wengi hawawezi kusearch kitu, in this case chuo ambacho ni academically poor. Although the two are not neccessarily connected or interdependent.WEB VISIBILITY inaingilianaje na ACADEMICs?! Web visibility ni wanangalia popuralty ya chuo kwa major search engines hasa GuGO,w2 wangap wanasearch Jina UDSM kwa gugo dunia nzima..
WEB VISIBILITY inaingilianaje na ACADEMICs?! Web visibility ni wanangalia popuralty ya chuo kwa major search engines hasa GuGO,w2 wangap wanasearch Jina UDSM kwa gugo dunia nzima..
WEB VISIBILITY inaingilianaje na ACADEMICs?! Web visibility ni wanangalia popuralty ya chuo kwa major search engines hasa GuGO,w2 wangap wanasearch Jina UDSM kwa gugo dunia nzima..
Kuna mahali Mkuu niliposema UDSM imekuwa ya sita kitaaluma?Mkuu mtoa hoja umeangalia criteria wanazotumia?Umeelewa maana ya UNIVERSITY WEB RANKING? Umejua ubora wake ni unatokana na nini?
Hebu soma homepage ya hiyo website ujue criteria wanazotumia.
[TABLE="width: 745, align: center"]
[TR]
[TD]The aim of this website is to provide an approximate popularity ranking of world Universities and Colleges based upon the popularity of their websites. This is intended to help international students and academic staff to understand how popular a specific University/College is in a foreign country.
We do not claim - by any means - to rank organisations or their programs, by the quality of education or level of services provided. The 4icu.org University Web Ranking is not an academic ranking and should not be adopted as the main criteria for selecting a higher education organization where to study.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Sawa mkuu lakini by any measure UDSM or its alumni have to celebrate that
Kuna mahali Mkuu niliposema UDSM imekuwa ya sita kitaaluma?
Vitivo vya UDSM pamoja na wahitimu wake vimetengeneza nini katika miaka kumi iliyopita?
Kuna mashine, dawa, mfumo au utafiti gani muhimu tuliopata ambao umeleta matunda yanayoonekana ambayo yasingewezekana vinginevyo?
Kwahiyo mkuu ni bora hata ya SUA waliovumbua mradi wa panya wa kutegua mabomu na kutambua vijidudu vya tuberculosis eenh??
Kuna mahali Mkuu niliposema UDSM imekuwa ya sita kitaaluma?
habari nzuri!!! lakini mbona hujaweka VIGEZO?? wametumia vigezo gani?? elimu au??Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) sasa kinakamata nafasi ya sita katika Vyuo Vikuu 100 bora vya Afrika. Orodha kamili iko hapa:2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
:A S angry:....kwa nin hao watu wasisearch tumaini,muccobs,mzumbe au sua?hyo ina maana kwamba hata huko nje wanajua tz vyuo bora ni viwili tu yaani udsm na hubert kairuki.nadhani after few years udom nayo itakua miongoni mwa vyuo bora hapa tz.over
lakin hakuna sehem uliyosema ni kwa nini UDSM ni ya sita!!!! nadhan ulitakiwa kutoa full information na sio taarifa kama za vijuweni!!!Kuna mahali Mkuu niliposema UDSM imekuwa ya sita kitaaluma?