UDSM, first year students 2020/2021

Msisahau Masanduku na Matranka yenu ni Muhimu sana kuna wezi Uku
 
Dah izo GPA sasa[emoji23]

Kibaya Labor Market mda mwingine haiangalii icho japo wa Chini ndo wanaumia sana
 
Usinikunbushe nimeenda kumcheki chalii yangu anasoma sheria nikaenda kwao kumbe wanapiga disc, aisee group walikuwa 12 ila Wahaya ni 7 kwa ujumla. Sasa sijui waliitana au ilitokea coincidence
 
Reactions: p2k
Kuna muda mkuu niliwaza nikapige PGD afu nikakae mabibo hostel pale ukiwa na kabebi woka utawala undergraduates mpaka pencil iishe ufutio. Mana asubuhi watt wanahangaikaje pale wewe wakishajua wana kutext. Unakula maisha mana maisha ni mafupi sana so enjoy the moment you're living, we only live once in lifetime
🤪🤪🤪🤪🤪🤪We jamaa umenizidi ujanja yaani. Sasa natamani nirudi UDSM kupiga masters yangu. Au unaonaje nikipiga masters UDBS chief
 
Kuna muda mkuu niliwaza nikapige PGD afu nikakae mabibo hostel pale ukiwa na kabebi woka utawala undergraduates mpaka pencil iishe ufutio. Mana asubuhi watt wanahangaikaje pale wewe wakishajua wana kutext. Unakula maisha mana maisha ni mafupi sana so enjoy the moment you're living, we only live once in lifetime
🤪🤪🤪🤪🤪🤪We jamaa umenizidi ujanja yaani. Sasa natamani nirudi UDSM kupiga masters yangu. Au unaonaje nikipiga masters UDBS chief
Hapana mkuu bukoba sheria Iko damuni ni kama ukienda jeshini mkurya sio wa kutafuta. Nimepiga op sijui pale makutupora yaani kati ya watu buku ivi 400 ni wa kutokea Mara mkuu.
Kila watu wana asili yao.
Usinikunbushe nimeenda kumcheki chalii yangu anasoma sheria nikaenda kwao kumbe wanapiga disc, aisee group walikuwa 12 ila Wahaya ni 7 kwa ujumla. Sasa sijui waliitana au ilitokea coincidence
 
Dogo ila jamaa akawashauri vizuri kuna wizi upo kama laptop na simu hizi unaenda sana tena sana. Nimeibiwa PC kama mbili pale bibo. Kikubwa PC tembea nayo muda wote kama ule muda wa Kaenda kula jioni
Hata advance sikubeba Tranka, sembuse university. Kwanza lini na wapi university na Tranka
 
Hii ndio thread sasa ya kujichagulia mchumba kutoka hapo mlimani
 
🤪🤪🤪🤪🤪🤪We jamaa umenizidi ujanja yaani. Sasa natamani nirudi UDSM kupiga masters yangu. Au unaonaje nikipiga masters UDBS chief
Udbs pako vizuri kama una kipaso chako watt watakufurahia sana.
Kuna mshikaji mmoja alisoma architecture pale Aru alikuwa na Hela. Alikuwa anamiliki mademu wawili kwa mpigo na wanajuana wote. Hawa viumbe hawana ujanja mbele ya ulimbo
 
Kuna muda dogo nitakuja nikutembelee hapo school ila fika kwanza uwe unawacheki pisi Kali. Ukishaziona kama mbili ama tatu unasoma nakodi usafiri nakuja tunazitoa out tunaharibu kama laki 5 afu tunawageia kama laki laki afu tunawaacha wanatutafuta wenyewe wanabaki kututafuta. Afu first year wengi hawajui mji na wanakuwa wanapenda PC na simu za apple na huku natokea huko kijijini kwetu Keisangora,masangura,kebaso,ghetawasi,masanga ,nyanungu ,muriba, kiribo ambako hata sijui nisemeje ila akifika tu dar naye anajidai anakijuaa kiswahili cha yai sijui cha Nazi. Sijui a naona aibu kuwa ametokea ghwitonga
Jamaa alikuwa anapigania maisha yake.. Mie nimechaguliwa UDBS Mkuu
 
Kuna muda utakuwa unasoma na MTU Kumbe yeye sio mwanafunzi mwenzenu yeye anawalia timing ukienda toilet unarudi PC haipo.
Ama muda ule wa mitihani mnaacha simu na PC nje ya darasa yaani wa kwanza akitoka ama wakawahi dogo unakuta begi halipo dogo
Hata advance sikubeba Tranka, sembuse university. Kwanza lini na wapi university na Tranka
 
Karbu sana Mkuu,
 
Kuna muda utakuwa unasoma na MTU Kumbe yeye sio mwanafunzi mwenzenu yeye anawalia timing ukienda toilet unarudi PC haipo.
Ama muda ule wa mitihani mnaacha simu na PC nje ya darasa yaani wa kwanza akitoka ama wakawahi dogo unakuta begi halipo dogo
Hapo tajua namna zaidi Mkuu, sema maisha ya watu wengi kuna wezi na tabia nyingine mbaya
 

Kwamba ajira hamna au?
 
Wale wa geology[emoji3][emoji3]
Prof maboko na Dr Nelson
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…