Msisahau Masanduku na Matranka yenu ni Muhimu sana kuna wezi UkuHabari za wakati huu,
Wale tuliochanguliwa UDSM kwa mwaka wa masomo 2020/2021, karibuni tupeane details zinazoendelea kwa ajiri ya joining instructions, Admission letter na hata taratibu mbalimbali za chuo.
Wakongwe pia wa UDSM karibuni kwa maoni yenu, ushauri na hata mtupe taswira ya mazingira hapo UDSM.
Nawasilisha.
Dah izo GPA sasa[emoji23]Udsm ni pana sana dogo sema unaenda college gani kuwa specific sana. Mana mie najua cebe ndani ya CoET ningekuwa CoNAS nisingemalizaga mana nimemaliza pale supp kama zote Napata GPA ya 1.7 wakiweka practical training inasoma 1.8 GPA napiga sapu inasoma 2.0 nasonga mbele kama kawaida na carry za kutosha.
Trend iyo kwa MTU wa CoNAS unakuta ameshadisco mana kuna kitu kinaitwa departmental gpa ni Nouma dogo. Na wana yo ile ya main course na sio zile optional courses lazima uzifaulu vizuri pasipo Hayo optional courses.
Kiufupi ni kukaza zaidi ya advance.
Mie Nilikuwa ninajichanganya na biashara kidogo second year ningeenda na maji walienda kama watu 17 mwaka wa NNE akaenda mmoja. Niliumia sana.
Tulianza 181 tukahitimu 137.
Hata advance sikubeba Tranka, sembuse university. Kwanza lini na wapi university na TrankaMsisahau Masanduku na Matranka yenu ni Muhimu sana kuna wezi Uku
Usinikunbushe nimeenda kumcheki chalii yangu anasoma sheria nikaenda kwao kumbe wanapiga disc, aisee group walikuwa 12 ila Wahaya ni 7 kwa ujumla. Sasa sijui waliitana au ilitokea coincidenceMkuu nilisahau kitu muhimu nachojua kuhusu udbs huko unasoma watoto wakali unajua wakali tena weupe tokea Kilimanjaro ndo wamejaa sana huko. Utadhani chuo ni chao ila wanakidhi vigezo. Afu si unajua wazazi wao walivyo na uwezo unakuta pisi Kali INA ndinga yake. Kikubwa ukiwa fiti unafaulu unawasovia hapo ndo utazawadia papuchi dogo.
Sheria utakutana na watoto wakali tokea ziwa magharibi aka kagera mpaka Uganda mkuu. Watoto black beauty wale black kweli kweli sio mchezo utakutana ndo wamekijaza chuo usiulize sheria kwa Mhaya hata kama hajaenda shule anaijua.
Mie Nilikuwa nawapenda sana black yaani ile black ukimuweka pamoja na Mkaa huwezi kujua kuwa pale kuna binadamu mkuu. Labda akiongea jino jeupe kama barafu ya Sochi huko USSR na jicho jeupe ndo pigo zangu.
Ila chuoni kuna watoto dogo mpaka unajiuliza hivi kweli anaendaga chooni ama ana mavi tumboni mwake.
Pia kuhusu education utakutana watoto wa mbeya mabinti wamejaa huko kuliko maelezo yaani mabonge yaani Bonge nyanya si unajua mbeya chakula sio cha kuuliza. Wakizira kuwauzia chakula chao dar watu wa dara wanakufa kwa njaa.
Pia kuna kozi Fulani vipindi vitakuwa vinafanyikia CoET huku utakutana na mabinti wenye sura ngumu za kiumbe ila ni mabinti mkuu so usije ukashangaa kuwa ni dume Mike ila ni mabinti waliotokea shule ambazo kweli wanasoma hawalembi k.v Tabora girls,msalato,kilakala Marian girls ,saint Francis huko na mabinti waliofaulu balaa yaani anapata A kwa advanced mathematics so kama Ile hesabu zenu zinakusumbua atakuelekeza kama vile anakufundisha. A e I o u.
Hawa mabinti wana sura kama za baba zao utakutana naye anawahi pindi hata sidiria hajavaa ni kawaida mana mziki wake sio wa kitoto.
Sura zao hazitakuwa na mvuto kisex ila wana tabia nzuri sana kama ukipata mmoja oa usiogope kisa kawa wa 3 kitaifa. Hapa utakutana na sura kama zile za prof ndalichako mana naye mwaka wake alikuwa TO, akina Migiro ana Rose, makinda , mongela Gertrude ama Dr Tulia ndo pigo hizo za CoET.
Mana hawatongozwi tongozwi ndo mana wanapata muda wa Ku concentrate kwa maths na physics na wanatoboa.
Ila nenda huko pspa ,coss ,cohu wakati tukawa hapo Ilikuwa ni CASS ila wameigawanya tukawa tumeshatoka.
Huko watt ni balaa kwenda b.a com mkuu unamuona MTT unabaki kumlia macho tu mana hakuna namna ila ukijilipua utest zali lako. Huko ndo mpaka kila mwanaume anajua marashi ,sabuni za manukato wakati huku CoET utakutana wanajua b29,jamaa na mwakano ndo sabuni zao. Pia CoET watt wengi ni ambao ni watoto wa masikini ama watt wa wakulima kama wanavyojiita ila vyuo vingine watt ni wa mawaziri,mafisadi na wafanyabiashara yaani wazazi wao wana uwezo
🤪🤪🤪🤪🤪🤪We jamaa umenizidi ujanja yaani. Sasa natamani nirudi UDSM kupiga masters yangu. Au unaonaje nikipiga masters UDBS chief
Hapana mkuu bukoba sheria Iko damuni ni kama ukienda jeshini mkurya sio wa kutafuta. Nimepiga op sijui pale makutupora yaani kati ya watu buku ivi 400 ni wa kutokea Mara mkuu.🤪🤪🤪🤪🤪🤪We jamaa umenizidi ujanja yaani. Sasa natamani nirudi UDSM kupiga masters yangu. Au unaonaje nikipiga masters UDBS chief
Usinikunbushe nimeenda kumcheki chalii yangu anasoma sheria nikaenda kwao kumbe wanapiga disc, aisee group walikuwa 12 ila Wahaya ni 7 kwa ujumla. Sasa sijui waliitana au ilitokea coincidence
Hata advance sikubeba Tranka, sembuse university. Kwanza lini na wapi university na Tranka
Udbs pako vizuri kama una kipaso chako watt watakufurahia sana.🤪🤪🤪🤪🤪🤪We jamaa umenizidi ujanja yaani. Sasa natamani nirudi UDSM kupiga masters yangu. Au unaonaje nikipiga masters UDBS chief
Jamaa alikuwa anapigania maisha yake.. Mie nimechaguliwa UDBS Mkuu
Hata advance sikubeba Tranka, sembuse university. Kwanza lini na wapi university na Tranka
Karbu sana Mkuu,Kuna muda dogo nitakuja nikutembelee hapo school ila fika kwanza uwe unawacheki pisi Kali. Ukishaziona kama mbili ama tatu unasoma nakodi usafiri nakuja tunazitoa out tunaharibu kama laki 5 afu tunawageia kama laki laki afu tunawaacha wanatutafuta wenyewe wanabaki kututafuta. Afu first year wengi hawajui mji na wanakuwa wanapenda PC na simu za apple na huku natokea huko kijijini kwetu Keisangora,masangura,kebaso,ghetawasi,masanga ,nyanungu ,muriba, kiribo ambako hata sijui nisemeje ila akifika tu dar naye anajidai anakijuaa kiswahili cha yai sijui cha Nazi. Sijui a naona aibu kuwa ametokea ghwitonga
Hapo tajua namna zaidi Mkuu, sema maisha ya watu wengi kuna wezi na tabia nyingine mbayaKuna muda utakuwa unasoma na MTU Kumbe yeye sio mwanafunzi mwenzenu yeye anawalia timing ukienda toilet unarudi PC haipo.
Ama muda ule wa mitihani mnaacha simu na PC nje ya darasa yaani wa kwanza akitoka ama wakawahi dogo unakuta begi halipo dogo
Coict imeanzishwa
Mie nishatokapo ila kozi zao ni telecommunications, computer engineering and information technology, computer science,electronics na sijui na nini. Hivi bado kuna wadogi zetu wanazisoma hizi kozi hizi samahani lakini.
Huko namjua kuna prof mmoja anaitwa LUhanga huwa anaamini tz nzima ni yeye tu na mark mwandosya wengine wanapeana kama wanavyopeana kazi ama kama baba kanituma kule jkt
Kwamba ajira hamna au?Coict imeanzishwa
Mie nishatokapo ila kozi zao ni telecommunications, computer engineering and information technology, computer science,electronics na sijui na nini. Hivi bado kuna wadogi zetu wanazisoma hizi kozi hizi samahani lakini.
Huko namjua kuna prof mmoja anaitwa LUhanga huwa anaamini tz nzima ni yeye tu na mark mwandosya wengine wanapeana kama wanavyopeana kazi ama kama baba kanituma kule jkt
Kwamba ajira hamna au
KeshoNgoja waje wengine tunasubir ya majibu ya round2
ndyo kesho iyoKesho
Sema Udsm huwa wana delay sana kuwekandyo kesho iyo