Time Traveller
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 314
- 303
Mnakwenda kuandaliwa kuwa future JOBLESS. ukweli mchungu...kwa tanzania ya sasa hivi mtu anayedahiliwa VETA ana uhakika wa maisha kuliko anayedahiliwa UDSM au vyuo vingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafkri kwa UDSM, CoNAS ndio College ngumu sana ukimaliza salama mshukuru sana mungu kule nimeshuhudia jamaa ana 2.2 na akaliwa kichwa!!!Udsm ni pana sana dogo sema unaenda college gani kuwa specific sana. Mana mie najua cebe ndani ya CoET ningekuwa CoNAS nisingemalizaga mana nimemaliza pale supp kama zote Napata GPA ya 1.7 wakiweka practical training inasoma 1.8 GPA napiga sapu inasoma 2.0 nasonga mbele kama kawaida na carry za kutosha.
Trend iyo kwa MTU wa CoNAS unakuta ameshadisco mana kuna kitu kinaitwa departmental gpa ni Nouma dogo. Na wana yo ile ya main course na sio zile optional courses lazima uzifaulu vizuri pasipo Hayo optional courses.
Kiufupi ni kukaza zaidi ya advance.
Mie Nilikuwa ninajichanganya na biashara kidogo second year ningeenda na maji walienda kama watu 17 mwaka wa NNE akaenda mmoja. Niliumia sana.
Tulianza 181 tukahitimu 137.
Nimemaliza hapo CONAS,mziki wake hatarNafkri kwa UDSM, CoNAS ndio College ngumu sana ukimaliza salama mshukuru sana mungu kule nimeshuhudia jamaa ana 2.2 na akaliwa kichwa!!!
A level ni pagumu kuliko chuo mkuu.Sawa mkuu
Sina uhakika sana Ila Sio uwe kitivo kinachoitwa CoNAS pale UDSMA level ni pagumu kuliko chuo mkuu.
Ndo maana mi mwenyewe nashangaa mtu akiniambia chuo kikuu ni pagumu kuliko A levelA level ni pagumu kuliko chuo mkuu.
umeitwa?
A level daah!! yale maisha staki kuyaskiaa PCM ilinifanya nionekane kama smigo iv[emoji28]Ndo maana mi mwenyewe nashangaa mtu akiniambia chuo kikuu ni pagumu kuliko A level
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]i feel you broA level daah!! yale maisha staki kuyaskiaa PCM ilinifanya nionekane kama smigo iv[emoji28]
HahahaSina uhakika sana Ila Sio uwe kitivo kinachoitwa CoNAS pale UDSM
Wale jamaa ni maadui, Utafundishwa utaelewa vizuri utapata RB na juice pale Cafe on, basii utaona maisha si ndio haya!! UE ni ilikuwa mpoteano aseeh Kuna BT ya third year unaweza hisi nafundishwa kilatini hapa!!Hahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti kilatini, kaka unatutisha ujueWale jamaa ni maadui, Utafundishwa utaelewa vizuri utapata RB na juice pale Cafe on, basii utaona maisha si ndio haya!! UE ni ilikuwa mpoteano aseeh Kuna BT ya third year unaweza hisi nafundishwa kilatini hapa!!
Kaka mbona unatuletea group la ifm huku[emoji2368][emoji2368][emoji2368][emoji2368][emoji2368][emoji2368][emoji2368]![]()
[emoji23][emoji23][emoji28] BT sio poa. Nachukia Sana course za botany pale.Wale jamaa ni maadui, Utafundishwa utaelewa vizuri utapata RB na juice pale Cafe on, basii utaona maisha si ndio haya!! UE ni ilikuwa mpoteano aseeh Kuna BT ya third year unaweza hisi nafundishwa kilatini hapa!!
KudadadadeeekiiiiMkuu nilisahau kitu muhimu nachojua kuhusu udbs huko unasoma watoto wakali unajua wakali tena weupe tokea Kilimanjaro ndo wamejaa sana huko. Utadhani chuo ni chao ila wanakidhi vigezo. Afu si unajua wazazi wao walivyo na uwezo unakuta pisi Kali INA ndinga yake. Kikubwa ukiwa fiti unafaulu unawasovia hapo ndo utazawadia papuchi dogo.
Sheria utakutana na watoto wakali tokea ziwa magharibi aka kagera mpaka Uganda mkuu. Watoto black beauty wale black kweli kweli sio mchezo utakutana ndo wamekijaza chuo usiulize sheria kwa Mhaya hata kama hajaenda shule anaijua.
Mie Nilikuwa nawapenda sana black yaani ile black ukimuweka pamoja na Mkaa huwezi kujua kuwa pale kuna binadamu mkuu. Labda akiongea jino jeupe kama barafu ya Sochi huko USSR na jicho jeupe ndo pigo zangu.
Ila chuoni kuna watoto dogo mpaka unajiuliza hivi kweli anaendaga chooni ama ana mavi tumboni mwake.
Pia kuhusu education utakutana watoto wa mbeya mabinti wamejaa huko kuliko maelezo yaani mabonge yaani Bonge nyanya si unajua mbeya chakula sio cha kuuliza. Wakizira kuwauzia chakula chao dar watu wa dara wanakufa kwa njaa.
Pia kuna kozi Fulani vipindi vitakuwa vinafanyikia CoET huku utakutana na mabinti wenye sura ngumu za kiumbe ila ni mabinti mkuu so usije ukashangaa kuwa ni dume Mike ila ni mabinti waliotokea shule ambazo kweli wanasoma hawalembi k.v Tabora girls,msalato,kilakala Marian girls ,saint Francis huko na mabinti waliofaulu balaa yaani anapata A kwa advanced mathematics so kama Ile hesabu zenu zinakusumbua atakuelekeza kama vile anakufundisha. A e I o u.
Hawa mabinti wana sura kama za baba zao utakutana naye anawahi pindi hata sidiria hajavaa ni kawaida mana mziki wake sio wa kitoto.
Sura zao hazitakuwa na mvuto kisex ila wana tabia nzuri sana kama ukipata mmoja oa usiogope kisa kawa wa 3 kitaifa. Hapa utakutana na sura kama zile za prof ndalichako mana naye mwaka wake alikuwa TO, akina Migiro ana Rose, makinda , mongela Gertrude ama Dr Tulia ndo pigo hizo za CoET.
Mana hawatongozwi tongozwi ndo mana wanapata muda wa Ku concentrate kwa maths na physics na wanatoboa.
Ila nenda huko pspa ,coss ,cohu wakati tukawa hapo Ilikuwa ni CASS ila wameigawanya tukawa tumeshatoka.
Huko watt ni balaa kwenda b.a com mkuu unamuona MTT unabaki kumlia macho tu mana hakuna namna ila ukijilipua utest zali lako. Huko ndo mpaka kila mwanaume anajua marashi ,sabuni za manukato wakati huku CoET utakutana wanajua b29,jamaa na mwakano ndo sabuni zao. Pia CoET watt wengi ni ambao ni watoto wa masikini ama watt wa wakulima kama wanavyojiita ila vyuo vingine watt ni wa mawaziri,mafisadi na wafanyabiashara yaani wazazi wao wana uwezo
Kudadadadeeekiiii