Mabulangati
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 796
- 167
Wandugu nimekutana na hii kitu kwa wale waliomaliza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam 2013. Ni tarehe, mchanganuo na taratibu za mahafali:
Tuanze kuandaa ukumbi, mapilau nk.
Tuandae pesa za majoho na DVD za stii na video pictures
Tujipange kibiashara zaidi (kutafuta kazi, kujiajiri au kuajiri)
Hongera na kila la kheri
Tuanze kuandaa ukumbi, mapilau nk.
Tuandae pesa za majoho na DVD za stii na video pictures
Tujipange kibiashara zaidi (kutafuta kazi, kujiajiri au kuajiri)
Hongera na kila la kheri