UDSM haipaswi kuikashifu UDOM

Hoja dhaifu. Cha msingi we piga msuli upate matokeo yaliyo mazuri yatakayo kusaidia huko mbeleni sio kuja kulalama tu eti wanafunzi wa UDSM wanawadharau wa UDOM. Ukiwa kama msomi inabidi ujikomboe kifikra na kuandaa hoja zenye manufaa kwa umma.
 
Ni kweli UDSM ni best,ndo maana hata kwenye list ya top universities in Africa iko juu kuliko vingine vyote vya TZ,lakini iyo isiwe sababu ya kutamba.Tatizo watanzania tuna tabia ya kujisifia by generalization tunasahau kujiangalia sisi binafsi.Utakuta mtu anatamba eti,mkoa wetu una wasomi wengi,wakati yeye hana hata pesa kukuzidi,au,shule yetu ni special,wakati yeye hana hata I.5.Ulimbukeni tu huu.Tukutane Mtaani University tuone kama tajiri ni aliyetoka UDSM tu.SIFA PESA!
 
Hizi sarakasi za UDOM na UDSM mbona haziishi wakuu?
 
Our threat is saut and not udom. Is it clear?
Mjinga akaaye kujadili vyuo badala ya kupima uelewa wa mtu mmoja mmoja,yapo mambo mengi hayana majibu mpaka leo kuhusu mwelekeo wa elimu ya tanzania,jadilini hayo na si huu ushambenga wenu...tumechoshwa na story za udom na udsm! Only stupid can discuss this!
 
Kuanzisha tu huu uzi ni kipimo tosha cha elimu yako na ubora wa chuo ulichosoma.
 
hebu wekeni maada za kujenga na cio za kubomoa....kuna v2 kibao vya kuzungmzia mnakaa mnaleta uubishi usio na manufaa yoyote.
 
hebu wekeni maada za kujenga na cio za kubomo,,,kuna v2 kibao vya kuzungmzia mnakaa mnaleta uubishi usi na manufaa yoyote>
 
Upinzani wa UDSM na UDOM hasa upo katika sehemu gani?

Upinzani kwenye masuala ya baadhi ya wanafunzi kujiuza, UDSM wanajiuza kwenye clubs za usiku DAR , UDOM wanajiuza kwa madereva wa wabunge na CLUB 84 au MAISHA CLUB
 
Mwingne kamaliza UDOM na upper 2nd yke yupo BoT mwingne kamaliza UD na pass yake yupo mtaan af bado anajisifia ye ndo kasoma chuo bora nonsense.!! cha msing elim yako imekusaidia nn! hizi thread za mashindano ni za kitoto tena foolish age
 
Vijana wa Udom tulieni msome,haya malumbano mnayoyaanzisha hayana tija.
Kiukweli Udsm ni the best University,hata vjana wa pale wako vzuri kielimu lakni hli lisiwe hoja ya kuwanyma usingzi tafuteni maisha,msiishi kwa kujilnganisha mtakufa kwa pressure bure.
 
binafsi naamini ili chuo tukiite bora basi ukiondoa mazingira ya kujifunza (vifaa vyote au mahitaji yote yanayoitajika ) kinachofuata ni uwezo wa mwanafunzi kukidhi mahitaji ya umma kutokana na alivyofundishwa chuoni(utendaji kazi hii inajumuisha uwezo wa kufikiri maamuzi nk) je unalingana na elimu yake?hapo ndu ugumu unaanzia!!mfano mzuri ni uwezo wa wanafunzi waliokua na elimu ya advaced diploma ya community development (IDM MZUMBE)na BA sociology ya (UDSM- DAR).ki ukweli wa IDM wanauwezo na wanamudu kazi on field ukilinganisha na UDSM
 
Badilisha TITLE yako bana.. WANAOKASHIFU UDOM NI UDSM AU WALIOSOMA UDSM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…