kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo cha kijinga sana hiki
Ujinga wake ni kukunyima admission kwa kukosa sifa au?Chuo cha kijinga sana hiki
Ussrt
Hongera sana Dr Deus
Ilikua na shida gan?Ila waliniudhi sana Ile phd ya Magu
Kwakweli maswali yalikuja, huyu kawa Waziri Yuko busy sana na katika mawaziri waliokuwa wako busy ni yeye, pili how comes anaingia kuwa Rais ndio anapewa hiyo PhD?Ilikua na shida gan?
Huu ndiyo utaratibu duniani kote.Watu wanasotea promotions kwa kuandika kwenye majarida mbali mbali.
Kufundisha sio lazimaHuu ndiyo utaratibu duniani kote.
Kwanza publications, utafiti, ufundishaji na services.
Mpuuzi kweli wewe,mwendazake alishaumaliza mwendo ,kapumzika Tena kwa heshima,bado wewe lofa Fulani hata Milo mitatu kwa siku inakupa tabuWatuthibitishie kwanza Phd ya mwendazake ilipatikanaje wakati kila mtu wa kawaida alimuona kulaza kabisa
Mwendazake alikuepo na MSc na inaonekana PhD ya aliipata Kwa research without course work . alifanya research bila kukaa darasani.Watuthibitishie kwanza Phd ya mwendazake ilipatikanaje wakati kila mtu wa kawaida alimuona kulaza kabisa
Acha chuki na mtu ambae hayupo tena duniani,hiyo PhD kaipata hata kabla hajafikiria kuwa Rais wa nchi.Kwakweli maswali yalikuja, huyu kawa Waziri Yuko busy sana na katika mawaziri waliokuwa wako busy ni yeye, pili how comes anaingia kuwa Rais ndio anapewa hiyo PhD?
Halafu alisoma lini yaani aliandika mambo gani maana haikuwa honorary degree, wadadisi wanatafuta alichofanyia thesis
Jamani, kama hamna data; acheni kuandika uongo. Magu hakupata PhD akiwa Rais. Katafute kitabu cha Graduands wa UDSM wa 2009, Kama unataka kujua Magu alipata PhD lini. Nenda katafute, nimekurahisishia kazi.Kwakweli maswali yalikuja, huyu kawa Waziri Yuko busy sana na katika mawaziri waliokuwa wako busy ni yeye, pili how comes anaingia kuwa Rais ndio anapewa hiyo PhD?
Halafu alisoma lini yaani aliandika mambo gani maana haikuwa honorary degree, wadadisi wanatafuta alichofanyia thesis
Enzi nikiwa undergraduate nilikuwaga namuona jiwe department ya chemistry alikuwaga anaenda na BMW nyeusiKwakweli maswali yalikuja, huyu kawa Waziri Yuko busy sana na katika mawaziri waliokuwa wako busy ni yeye, pili how comes anaingia kuwa Rais ndio anapewa hiyo PhD?
Halafu alisoma lini yaani aliandika mambo gani maana haikuwa honorary degree, wadadisi wanatafuta alichofanyia thesis
Huyo atakuwa ni baba yake na Lucas kankiko Rugashoborolwa..UDSM hawatakagi mchezo linapokuja Jambo la publications na promotion. Lipo zee flan la Kihaya linasotea mwaka wa 7 huu kuwa prof kila mara wanaliambia points hazijatimia linaishia kunywa bia tu pale Mawasiliano Park