Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
mwanafunzi anatakiwa alipwe dola 300, lakini wakija mlipa wanampa kwa madafu na wanampa laki 3 tu. badala ya 300X1325 = 397500 (kwa sasa)! Ile change yaani 97500 wanajua wenyewe
Ndo humo humo akina Mangi wanamotokea fikiria wanafunzi wapo zaidi ya 100 atapata kiasi gani? Wao wanachukulia wanafunzi mabogus hawajui rate za dola ndo maana wanawapigia humo humo sasa mfadhili katuma dola wao kwanini wasiwape wanafunzi dola badala ya kujifanya wao ndo wanajua na kwenda kuchange wakirudi utasikia rahi ya leo dola imeshuka sana.