UDSM: Hostels vs Kupanga Gheto

UDSM: Hostels vs Kupanga Gheto

hosteli udsm chafu sana sikushauri ukae km una hela yako...yapo magheto mazuri tu yametulia mitaa ya survey hapo....km mtoto wa mkulima inabidi ukubali maisha ya kubebana hamna jinsi tumetofautiana kwa kila kitu....
 
hosteli udsm chafu sana sikushauri ukae km una hela yako...yapo magheto mazuri tu yametulia mitaa ya survey hapo....km mtoto wa mkulima inabidi ukubali maisha ya kubebana hamna jinsi tumetofautiana kwa kila kitu....

Thanks alot mkuu.
 
Kaa hostel at least upate experience ya kuishi na strangers. Mie form 2 hadi form 6 nilisoma boarding, best experience ever, imenifundisha kujitegemea na kuweza kuishi kokote na watu wa aina zote...so I think u need that experience in ur life itakusaidia ktk changamoto za maisha (my opinion &#128521😉
 
Kaa hostel at least upate experience ya kuishi na strangers. Mie form 2 hadi form 6 nilisoma boarding, best experience ever, imenifundisha kujitegemea na kuweza kuishi kokote na watu wa aina zote...so I think u need that experience in ur life itakusaidia ktk changamoto za maisha (my opinion &#128521😉

thanks alot for the advice.
 
Back
Top Bottom