Kwann boss? Si ya heshima kiwango cha diploma?ππππ hyo itakuwa underating kabisa,hata mm sitakubali kuipokea
HahahaNikikumbuka shughuli za chuo cha ualimu dakawa pale kilosa ,hapana kwakweli ile ni jkt ndogo
Nadhani ni initiative tu na si vinginevyo. Hata SAUT au Mzumbe wangemfikiria mhusika kwa maana ya kutambua mchango wake na kuona anastahili kutunukiwa PhD, na kuamua kumtunuku, wasingezuiliwa. Kwahiyo UDSM haijateuliwa kumtunuku mtu yeyote udaktari wa heshima, bali ni maono ya chuo husika.Kama swali linavyojieleza. Natamani kujua kama kuna vigezo vinavyoidhinisha au vinavyofikiwa kwa chuo kikuu iwe hapa Tanzania au Duniani kote katika kumtunuku mtu udaktari wa heshima.
Nauliza hivyo kwasababu kwa hapa Tanzania kila mara utasikia UDSM imemtunuku mtu fulani udaktari wa heshima na sijawahi kuskia SAUT, MZUMBE au MUST
Maelezo yako yananifanya niendelee kukuuliza maswali mengi lakini kwa uchache tu;Nadhani ni initiative tu na si vinginevyo. Hata SAUT au Mzumbe wangemfikiria mhusika kwa maana ya kutambua mchango wake na kuona anastahili kutunukiwa PhD, na kuamua kumtunuku, wasingezuiliwa. Kwahiyo UDSM haijateuliwa kumtunuku mtu yeyote udaktari wa heshima, bali ni maono ya chuo husika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana vinaona, lakini haviko willing kutunuku. Unajuwa tunatofautiana katika kuadmit pale tunapobaini jambo la kipekee ambalo mwenzetu amegundua au amelifanya na kukubalika kwa watu wengi?Maelezo yako yananifanya niendelee kukuuliza maswali mengi lakini kwa uchache tu;
Je, hivi vyuo vingine tofauti na UDSM(pamoja na vyuo vyake vishiriki) havioni michango ya viongozi au watu wanaojitoa kwa mambo mbalimbali kwaajili ya nchi yetu?