Udsm inaelekea wapi? Barua hiyo soma mwenyewe na utoe maoni yako

Hopeless mwanasheria! nyie ndio mnasaini mikataba ya ovyo kwasababu ya njaa zenu. Acha njaa wewe.
 
Ha ha ha ha ! Unaninyanyapaa bure! Kwa hiyo unataka kusema mgomo unamkono wa vyama vya upinzani!!!? Angalia usije ukaharibu zaidi kesi yako mwenyewe!
Kuna mkono wa ccm, maana nyie ndo mnaokalia haki za wanachuo.
 
Hawa wahuni waliochukuliwa hatua watakuja kukumbuka shuka wakati kumekucha.

David Silinde, Kabwe Zuberi Zitto, John Mrema, Mwita Mwikabe Waitara, Julius Mtatiro, nk ni baadhi tu ya wanafunzi waliowahi kuwa vinara wa Migomo UDSM na kupata misukosuko ya kusimamishwa masomo na hata wengine wakajikuta wanasoma miaka minne katika kozi zao za miaka mitatu. Je na hawa vinara wa migomo wa enzi hizo nao utawaita ni Wahuni?

 
Magraduate wa Mzumbe utawajua tu! Pole sana!
Huyo sio wa mzumbe mkuu, usiwasaidie kubadili mada, maana tukianza kushambuliana UD na Mzumbe mada itapotea na wale vibaraka wa ccm watapumua. tuendelee kujadili thread.
 
huyo sio wa mzumbe mkuu, usiwasaidie kubadili mada, maana tukianza kushambuliana ud na mzumbe mada itapotea na wale vibaraka wa ccm watapumua. Tuendelee kujadili thread.

ni kweli tusipoteze mwelekeo wa thread kwa kuingiza mambo ya mzumbe hapa. Kilichopo ni hali ya fukuzafukuza inayoendelea pale udsm.
 
Poleni wadogo zangu lakini unaemweleza sio mtu wa kuelezwa haya. wewe unafikiri kuwa anasoma masters sheria; hakuna mtu yeyote anayesoma sheria hapa nchi ktk masters anaweza kutoa maoni kama haya, huyu ni kibaraka wa ccm kajifanya mwanasheria. Usiwachafue masters wote kwasababu ya chizi mmoja.
 

Wewe unazungumza nini. maisha ya sasa pamoja na ubepari bila ya collective responsibility hatutafika. wewe nadhani mtu kama gandi, nyerere, nkurumal wangekuwa wanajiangalia wao leo nchi zao zingekuwa wapi? nyerere hujui aliachishwa kazi sababu ya siasa. gandi na nkurumah wamepoteza maisha sababu ya siasa. sasa kama wewe huoni sababu ya kurazimisha haki itendeke shut up. endelea hapo kusoma na ukatengeneze miswada mibovu na kuwatumikia hao wapuuzii ili mkono wako uende kinywani. huku wajukuu wako wakikuuliza siku umetufanyia nn? ila umeshindwa kwa sababu umi mi wako. kalaghabao.
 
Kama wakuu wa elimu wanaandika barua yote in capital letters sijui tunajifunza nini hapo!!!

sina hakika kama kilichoandikwa hapo ni barua nadhani ni "Tangazo"
 
Ndo tunaanza kuona athari za baadhi ya watu walafi kuhongwa vijisenti na kugawa rasilimali zetu kwa bei ya vitunguu. Tunashindwa kutatua matatizo ya msingi kabisa ya elimu ya vijana wetu tunabaki na frustrations za kuwapiga virungu na kuwatimua. Responsible leadership ilikufa kipindi cha mwalimu, hivi sasa ni selfish leadership. Sioni matumaini ya nchi inakoelekea, labda baadaye hali yaweza badilka. You never know
 
Kinachotokea sasa ni impact za viongozi majuha wa Ccm na vibaraka wao ndo wanaona njia nyepesi ya kuleta hofu kwa wasomi na kuwasuspend ila wafahamu ndo wanapandikiza mbegu za mabadiliko udsm ni sehemu ndogo tu ya watz wanaonewa na kuonekana wahuni mbele ya jamii lakini jamii ikae ikitambua wasomi ndio nguzo ya taifa lolote imara na huu ni mwanzo na fukuto la mabadiliko ya kweli wanaudsm tuungane mikono ktk kupigania haki ya wenzetu inayodhulumiwa na hawa mafisadi and we should rem that if u think about today how about tomorrow after finishing of ur studying (no employment)
 
@mwikumwiku, cdhan kama mtu mzma kwa maana ya uzma na umri atafka chuo kikuu bla kujua lengo lake...tafadhal tusi hlo futa.. Kla mtu analengo na hakuna anaefwata mkumbo wala kundi bali dhamira yake mwenyewe. Kama hujui au unajua jarbu kusoma kwa makn maelezo ya clemmy yanaweza kukufungua zaid. Inakera unapotaka kumfanya mwanafunz wa chuo kkuu awe "askari" yani YES kwa kla ktu bla kuhoji!!!!??
 
we should wake up hawa mafisadi hawawezi kuchezea majority of Tanzanian its our moment to fight for our right
 
Wanafunzi wa sasa waoga sana yani me ningekuwa mwanafunzi leo ningelipua makazi ya mkandara hapo,na kuna kipindi ticha flani hapo alikua ananizingua na nilipanga nilipue utawala sema tulienda nae sawa,hawa washenzi dawa yao ni kulipua yani mnashindwa kujioganaiz wanafunzi hata wa5 mkanunua guruneti na kulipua utawala? Kama mbwai mbwai tu hii nchi mbele haitotawalika biliv dat I'm tellin y'all buddiez
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…