Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 70
Nimemsikiliza kwa makini hawa wanafunzi walikurupuka katika maamuzi yao sheria haitawa favour na ndo ushangae mi nimesomea hapo udsm sio siri kuna kasumba ya migomo ya kijinga sometimes na sasa uanaharakati eti kila mwanachuo mlimani ni mwanaharakati uharo mtupu
Daima kama ni mvivu wa kufikiri daima hata utatachotoa kitakuwa hakina mashiko kama ulisoma UD kwanini unafikia kuhukumu au ndio wale wale wa Madesa tuNimemsikiliza kwa makini hawa wanafunzi walikurupuka katika maamuzi yao sheria haitawa favour na ndo ushangae mi nimesomea hapo udsm sio siri kuna kasumba ya migomo ya kijinga sometimes na sasa uanaharakati eti kila mwanachuo mlimani ni mwanaharakati uharo mtupu
wasomi hawasikilizi upande mmoja na kutoa hukumu kwahiyo unaweza kuwa kweli umesoma chuo kikuu lakini ukawa kama watanzania wengine waliosoma lakini hawajaelimika.Nimemsikiliza kwa makini hawa wanafunzi walikurupuka katika maamuzi yao sheria haitawa favour na ndo ushangae mi nimesomea hapo udsm sio siri kuna kasumba ya migomo ya kijinga sometimes na sasa uanaharakati eti kila mwanachuo mlimani ni mwanaharakati uharo mtupu
Wewe ndiyo akili yako "Uharo mtupu"Nimemsikiliza kwa makini hawa wanafunzi walikurupuka katika maamuzi yao sheria haitawa favour na ndo ushangae mi nimesomea hapo udsm sio siri kuna kasumba ya migomo ya kijinga sometimes na sasa uanaharakati eti kila mwanachuo mlimani ni mwanaharakati uharo mtupu
Nimemsikiliza kwa makini hawa wanafunzi walikurupuka katika maamuzi yao sheria haitawa favour na ndo ushangae mi nimesomea hapo udsm sio siri kuna kasumba ya migomo ya kijinga sometimes na sasa uanaharakati eti kila mwanachuo mlimani ni mwanaharakati uharo mtupu
Nawe ni gamba tu huna lolote! Mkandara ni mwanasiasa! Huwezi ku-jump into conclusion kwa kusikiliza maelezo ya huyo dictator wa chuo anayefanyakazi ya kulipa fadhila kwa bosi wake ******!! Hata mimi nimesoma chuo! Migomo yote huwa ina sababu za msingi.
Siamini kuwa umesoma chuo kikuu wewe kama hii ndio conclusion yako. Labda utuambie umepitia chuo kikuu na kama una vyeti basi ni vya madesa na mig. Or maybe even vya chupi.
Daima kama ni mvivu wa kufikiri daima hata utatachotoa kitakuwa hakina mashiko kama ulisoma UD kwanini unafikia kuhukumu au ndio wale wale wa Madesa tu
Mi nadhani Wa - TZ hasa wanaojiita wasomi wabadilike, ukitazama tangu mwanzo sababu iliyowafanya wagome haikuwa ya msingi, fedha hakuna, serikali imekopa huko duniani mpaka muda huu tunatukanwa hovyo hovyo, rejea matusi ya Ehud Barak wa Israel, David Cameron wa Uingereza na hata ripoti za karibuni zinzoonesha kwamba tunashika nafasi ya tatu kwa kusaidiwa Duniani ukiacha Iraq na Afganistani na bado wasomi hao hao waligoma na kuongezewa posho at their counterparts expenses ya kukosa masomo!! Sasa wasaidiweje hawa, hatuwezi kuwa na taasisi au nchi katika mawanda mapana ambayo viongozi wake hawana mamlaka. My take wale 43 waliofukuzwa mwanzo na ambao kesi zao bado zinaendelea ni sawa, hawa walioongoza ujinga eti mgomo wa amani na kufukuzwa jana ni sawa na wale waliosimamishwa wakibainika kufanya makosa wafukuzwe katika terms zile zile. Mi namshauri Makamu Mkuu wa chuo wa ukweli Prof. Mukandala kama kuna wengine watakaogoma fukuza kabisa baba! bakiza wanafunzi walio tayari kufanye UE tu ambao wanajua wamefata nini hapo chuoni.
Mi nadhani Wa - TZ hasa wanaojiita wasomi wabadilike, ukitazama tangu mwanzo sababu iliyowafanya wagome haikuwa ya msingi, fedha hakuna, serikali imekopa huko duniani mpaka muda huu tunatukanwa hovyo hovyo, rejea matusi ya Ehud Barak wa Israel, David Cameron wa Uingereza na hata ripoti za karibuni zinzoonesha kwamba tunashika nafasi ya tatu kwa kusaidiwa Duniani ukiacha Iraq na Afganistani na bado wasomi hao hao waligoma na kuongezewa posho at their counterparts expenses ya kukosa masomo!! Sasa wasaidiweje hawa, hatuwezi kuwa na taasisi au nchi katika mawanda mapana ambayo viongozi wake hawana mamlaka. My take wale 43 waliofukuzwa mwanzo na ambao kesi zao bado zinaendelea ni sawa, hawa walioongoza ujinga eti mgomo wa amani na kufukuzwa jana ni sawa na wale waliosimamishwa wakibainika kufanya makosa wafukuzwe katika terms zile zile. Mi namshauri Makamu Mkuu wa chuo wa ukweli Prof. Mukandala kama kuna wengine watakaogoma fukuza kabisa baba! bakiza wanafunzi walio tayari kufanye UE tu ambao wanajua wamefata nini hapo chuoni.
Wewe ndiyo akili yako "Uharo mtupu"
Afu mijitu mingine inatia hasira we kama hujui chanzo na udikteta unaofanywa hapa c ukae kimya? Ndiyo ulisoma hapa huoni wakati wenu na sasa mambo yamebadilika?
COMMON SENSE ARE NOT WORKING NOW DAYS.