Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
nimeona kwenye guide book ya mwaka huu, ndo inaanza mwaka huu hyo coz? Manake sijawahi kuskia kabla udsm kuna md, na ni campus ipi, kwa mwenye ufahamu na hili.
Ndugu Kijakazi II, Napenda kukumbusha kusoma kwa makini maana mleata mada amesema shule kuu ya udaktari (Medical School). Hii itakua inafanya tafiti mbalimbali za kitabibu na kufundisha shahada za juu za mambo ya tiba siyo kama muhimbili au kwingineko unakosea. Pili huko KCMC na bugando siyo medical school na ki ukweli hamna medical school Tanzania.
Alafu pesa za kuanzisha kitu kama hicho si ya kutoka serikalini maana inahitaji pesa nyingi lazima itakua ni mradi tena wa ppp au kwa ushirikiano na vyuo vingine vya aina hiyo. Nilimsikia Makamu Mkuu wa UDSM akilisemea hilo na nilisoma salamu zake za mwaka mpya kwa wanajumuiya ya chuo hicho kuwa wanaanzisha medical school kwa patnership na Medical School fulani huko China na Los Angeles Medical School ambayo nadhani is the best in the world.
Nadhani cha msingi ni kuhoji ubora wa medical school hiyo na si kuchagiza hela zingeenda wapi sijui na mambo mengine kama hayo, hii si siasa wajameni.
Kila lakheri UDSM kwa kuona public need
Ndugu Kijakazi II, Napenda kukumbusha kusoma kwa makini maana mleata mada amesema shule kuu ya udaktari (Medical School). Hii itakua inafanya tafiti mbalimbali za kitabibu na kufundisha shahada za juu za mambo ya tiba siyo kama muhimbili au kwingineko unakosea. Pili huko KCMC na bugando siyo medical school na ki ukweli hamna medical school Tanzania.
Alafu pesa za kuanzisha kitu kama hicho si ya kutoka serikalini maana inahitaji pesa nyingi lazima itakua ni mradi tena wa ppp au kwa ushirikiano na vyuo vingine vya aina hiyo. Nilimsikia Makamu Mkuu wa UDSM akilisemea hilo na nilisoma salamu zake za mwaka mpya kwa wanajumuiya ya chuo hicho kuwa wanaanzisha medical school kwa patnership na Medical School fulani huko China na Los Angeles Medical School ambayo nadhani is the best in the world.
Nadhani cha msingi ni kuhoji ubora wa medical school hiyo na si kuchagiza hela zingeenda wapi sijui na mambo mengine kama hayo, hii si siasa wajameni.
Kila lakheri UDSM kwa kuona public need
Hujui maana ya medical school, kaa kimya
Hakuna kitu kama hicho....rudia tena kuisoma hiyo guidebook uliyonayonayo......kama utaona hamna mabadiliko basi ni hiyo gbk ni fake.