Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kiko mbioni kuanzisha Shule Kuu ya Udaktari kwa ajili ya kozi za utabibu. Hiyo itakuwa ni hatua ya kurejesha Shule ya Udaktari baada ya Muhimbili kuwa Chuo Kikuu kamili. Katika kufikia lengo hilo, UDSM imetangaza nafasi 4 za kazi kwa Maprofesa, Maprofesa Washiriki, Wahadhiri Waandamizi na Wahadhiri wa Shule hiyo Kuu ya Udaktari.
Kuanzishwa huko kumebarikiwa na kikao cha Baraza la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam lililoketi tarehe 11/8/2014. Tangazo la kazi lapatikana www.udsm.ac.tz
Hongera UDSM!
Kuanzishwa huko kumebarikiwa na kikao cha Baraza la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam lililoketi tarehe 11/8/2014. Tangazo la kazi lapatikana www.udsm.ac.tz
Hongera UDSM!