udsm mgodi umetema

udsm mgodi umetema

wana udsm...mapishi tayari na kila kitu kwa meza....aris imejilipua...so wale wenzangu na mimi wa sup tuandae majeshi tena for attacks....by mdogo ake kisanko
Kama Bumu limetoka basi dada zetu pale Kalabash watakoma.
 
hahahahahaahahaha unanikumbusha chuo aisee. duuh yaan boom liktema wa2 hawakamatk yaan hajulkan nan beneficial na nan ce.
Muda huo kila mtu ni mtoto wa kishua mpaka zikaribie kuisha ndiyo akili inakaa sawa.
 
College gani mkuu. DUCE bado!
Mwalimu endelea kupiga kitabu, labda MOEVT wamewaomba aris wajaribu kuwaandaa ili mzoee ucheleweshaji mishahara mtakapo anza rasmi majukumu yenu mtaani.
 
Tuambiane tarehe ya suplimentary lini wengine simu hazina uwezo wa kufunga pdf ili usome almanac-udsm.
 
Back
Top Bottom