UDSM mgomo wanukia Mapema chuo kikifunguliwa

<br />
<br />
kumbe Mzumbe ni chuo cha private siku hizi!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
toka lini chuo chenu wakagoma mkuu?
<br />
<br />
mkuu bado unanyonya nini!?maana nimefuatili comment zako na post zako ni za kitoto sana,grow up
 


sasa dogo kosa la bush ni nin ulitaka akatae kazi wakati ndo kasomea hyo kitu na ana uzoefu nayo au ulitaka mgomo ukianza aache ofis awafuate nyie first year wa tcu mnaogomea nauli ya 300 ya shato baada ya kuishiwa??????? mbona wengi wanabaki pale na walikua wanaharakati ???? unamjua waziri wa elimu pale udsm 2007/2008???? mbona alibaki pale na alikua ni mwanaharakati wa nguvu kutetea madenti na sasa anafundisha yupoi kimya????? dogo acha kuropoka maliza chuo ingia mtaani anza harakati za maisha...mtaa mgumu wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…