UDSM mgomo wanukia Mapema chuo kikifunguliwa

UDSM mgomo wanukia Mapema chuo kikifunguliwa

<b><span style="font-family: comic sans ms"><font size="4"><font color="#800080">ni kweli nDugu, kumbuka hata hizi means testing zilianza ni kwa 7bu ya harakati za udsm. Mwanzoni wote tulioanza 2006/2007 tulipewa daraja moja. Govt.60% wakati mzazi 40%. Katika harakati zetu, tuligundua watoto wa matajiri na viongozi wakiwa nao wanalipiwa sawa na mtoto wa maskani tena ambaye elimu yake kapata kwa shida, na mpaka anafika chuo hana vyeti vyake, anatumia result sleep kwa kuwa anadaiwa 40,000/= adada za sekondari.<br />
<br />
Tuliwasha moto na kusema huo ni uonevu, na madai yetu tulitaka wote tuendelee kupewa 100% ndipo viongozi wa wkt huo, akina bushi, mtatiro na mwanaharakati toka uganda aliitwa odong odwaa walisimama tukafanya mgomo uliopelekea chuo kufungwa takribani mwezi mmoja. <br />
<br />
Tuliporejeshwa chuo, tukakuta means testing. Tulijaza fomu hizo, matokeo yake mtoto wa waziri mmoja akakutwa analipiwa 100% wakati watoto wa wakulima tuliepewa kujigaramikia hadi 80%. Tulifanya mgomo mwingine mkubwa tukafukuzwa miezi miwili na tuliporejeshwa, tukakuta madaraja yetu kwa kiasi kikubwa yamerekebishwa.<br />
<br />
Mwaka wa tatu 2008/2009 hatukufanya mgomo kwa kuwa madaraja yalirekebishwa kwa kiasi kikubwa.<br />
<br />
Vyuo vingine hasa vile vya private kikiwemo na mzumbe, hawakugoma, walikuwa ni kati ya watu waliotuita udsm tumeshindwa kusoma. Lakini harakati zetu na taabu za kufukuzwa ndizo zilizopelekea hata wanafunzi wa private insistution kupewa mikopo wakati mwanzoni waligomewa. Sisi udsm tukasema, nao ni watanzania japokuwa wao hawakuwahi kugoma hata siku moja.<br />
</font></font></span></b>
<br />
<br />
kumbe Mzumbe ni chuo cha private siku hizi!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
toka lini chuo chenu wakagoma mkuu?
<br />
<br />
mkuu bado unanyonya nini!?maana nimefuatili comment zako na post zako ni za kitoto sana,grow up
 
mkandalla, maboko wote ni makuadi wa ccm, mie sihsngai kwani walituzingua enzi zetu hizo. Wajinga sana.

Wakati tukiwa chuo, alikuwepo waziri wa mikopo daruso, alijulikana kwa jina la bushi. Alituongoza sana wanafunzi, wengi tukapata mikopo. Lakini alipomaliza chuo, menejiment sijui walifikiria nini, wakaamua kumchukua na kumweka akawa sehemu ya management ya udms.

Kinachonishangaza ni kwamba, tangu alipopewa nafasi hiyo, harakari zote alizokuwanazo ziliisha, na si ajabu yeye aliyekuwa mwanaharakati akakubaliana na maboko. Nitamhesabia kuwa mwanaharakati feki, msaliti na hafai katika nfasi aliyopewa na chuo.

Ama kweli mtu ajifanyaye kuwa kidom, mpe nafasi katika system, yatamshinda, atasahau harakati zake zote.

Inculsion system by max weber


sasa dogo kosa la bush ni nin ulitaka akatae kazi wakati ndo kasomea hyo kitu na ana uzoefu nayo au ulitaka mgomo ukianza aache ofis awafuate nyie first year wa tcu mnaogomea nauli ya 300 ya shato baada ya kuishiwa??????? mbona wengi wanabaki pale na walikua wanaharakati ???? unamjua waziri wa elimu pale udsm 2007/2008???? mbona alibaki pale na alikua ni mwanaharakati wa nguvu kutetea madenti na sasa anafundisha yupoi kimya????? dogo acha kuropoka maliza chuo ingia mtaani anza harakati za maisha...mtaa mgumu wewe
 
Back
Top Bottom