UDSM, Mzumbe wana Business School lakini katika Sakata la Kariakoo wako kimya. Hapa ndio Kishimba huwa anachukua alama

UDSM, Mzumbe wana Business School lakini katika Sakata la Kariakoo wako kimya. Hapa ndio Kishimba huwa anachukua alama

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hii nchi ina faculty ambazo zinaitwa za biashara, zikiwa na wasomi kedekede, kwa nini hawatoi muda wao kufanya research kwenye maeneo nyeti ya nchi kibiashara? Imagine, eneo linalokusanya Kodi karibu 150 billions kwa mwezi, Chuo Kikuu hakijichimbii kufanya tafiti au monitoring. Wao wanamjua Plato na Aristole tu, usipomkariri utakiona.

Hata baada ya Sakata la Kariakoo, they failed to come with a detailed analysis kwenye media.

Vyuo vikuu vinatakiwa kuwa na jamii na kufanya ya jamii, na kutoa matokeo kwa jamii, vinginevyo vinakuwa redundant.
 
At least tungepata impact analysis ya huo mgomo tuone ni hasara kiasi gani imepatikana, whether kutoka TRA wenyewe au kupitia hizo taasisi ulizotaja plus other research firms. But we never know labda wako field though the problem is, will they publicate hizo findings/are they ready to do so? Repoa na Twaweza hasa Twaweza had this tendency of publishing their findings kwenye platform tofauti tofauti ila sikuhizi nao wako kimya mno, probably serikali imewapiga mkwara.
 
Kuhusu UDSM sijui Bussiness School hata Bussiness Mgt na hata Chuo Cha Kodi na vyuo vyote Tanzania its just theoretical perspective but Mgomo wa Kariakoo ndio real Bussiness on the ground! Labda sasa ndio wafanye hiyo research but nothing will change!
 
Hayo ni masuala ya kisiasa ,wanasiasa wenyewe wanatunga vitu visivyotekelezeka ,inamaana hawamhusishi mfanya biashara ,sasa business schools zitafanya nn cha ajabu?
 
Vyuo vinawaandaa kuajiriwa sio kujiajiri ndio kosa linapoanzia hata wao waneajiriwa kwa mifumo mibovu ndio maana huwezi kusikia kama Wasomi wakatoa tathmini yeyote...
 
Nimeipenda hii

Wao wanamjua Plato na Aristole tu, usipomkariri utakiona
 
Kianzishwe Chuo Cha Wezi na Majambazi na malekcha wawe wezi na Majambazi pro
 
Naskia tuna chuo cha kodi kwani chenyewe kinasemaje kuhusiana na hili saga
 
Kabisa mkuu
Kuhusu UDSM sijui Bussiness School hata Bussiness Mgt na hata Chuo Cha Kodi na vyuo vyote Tanzania its just theoretical perspective but Mgomo wa Kariakoo ndio real Bussiness on the ground! Labda sasa ndio wafanye hiyo research but nothin
 
Back
Top Bottom