Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Thanx kwa taarifa mkuu
vipi taratibu za kulipa fee. Wanakubali kwa installment? Na kama wanakubali ukalipa then ukaana masomo vipi ikatokea ukuchelewa kufany payments za installment inayo fuata, wana utu au ndio watakufuzia mbali ukawa umepoteza muda na vipesa vyako ulivyo lipa. Nauliza coz nimeona kidogo ada zao zimechangamka.Help plse, hasa kwa wale mnao soma au mlisoma hapo . Nahitaji kusoma MIB ila nina viela vya kuunga unga