Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Habari wanajamiiforums.....Kwa wale waliochelewa kujiunga masomo ya masters na Postgraduate Diploma UDSM na vyuo vingine ni nafasi yako sasa kusoma katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Masomo yanaanza mwezi wa nne na mwisho wa kutuma application ni tarehe 28th february. Kwa taarifa zaidi pamoja na application form piga simu namba 0755 450 174 au 0767065698. Pia usisite kutembelea http://www.udbs.udsm.ac.tz/ KARIBUNI SANA.