duuuh HIV noma lakini jamani
rip kijana mdogo
so alianza mapenzi secondary? ni hatari lakini
Mkuu, kwa nini unadhani aliupata kutokana na kufanya mapenzi? Hujui njia nyingine zinazoweza kumfanya mtu apate HIV?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuuh HIV noma lakini jamani
rip kijana mdogo
so alianza mapenzi secondary? ni hatari lakini
duuuh HIV noma lakini jamani
rip kijana mdogo
so alianza mapenzi secondary? ni hatari lakini
Mkuu, kwa nini unadhani aliupata kutokana na kufanya mapenzi? Hujui njia nyingine zinazoweza kumfanya mtu apate HIV?
duuuh HIV noma lakini jamani
rip kijana mdogo
so alianza mapenzi secondary? ni hatari lakini
Au alikosa mkopo?
Maana mikopo pia inwafrustrate sana vijana!
achaneni na maswala haya ya ukimwi nafikiri naweza kuwa na maamuzi kama haya la sivyo niwekewe boadguard kwa kweli nauogopa sana mie kuishi eti kwa matumaini siweziiiiiiiiiiiii ni bora sijiu nitaishi milele au nitakufa lini sijui kuliko najua lazima nife siwezi mie HorsePower my kaka help me
Soma vizuri..jamaa alikutwa ni HIV+ sasa wewe hili la mkopo umelitoa wapi..!!
Ina maana hujui kuna mother-to-child infection pia? Watoto kadhaa waliozaliwa post 1983 ni waathirika kwa njia hii!....Poor kid......how some of you vilify him make my stomach turn upside down
mhm nilikuwa nakuelewa lakini sasa umenichanganya,watoto wa 1983,...lakin yy ana 21yrs ni wa 90s huyu,nway mayb ni lastborn.rip mdogo wetu