Na wewe ndio hukosea zaidi, kila kitu kiendacho kinyume na lengo la masikio yako basi ni cha CCM...! Namna gani mdada!Gembe unajiabisha!
Rudi chuoni pale kivukoni maana naona hujakomaa kwenye propaganda za makamba
Awali ya yote... ni migomo mingapi ambayo imewahi kufanikiwa hapo Mlimani?
Dola yaonyesha nguvu zake
But was all this force really necessary? Maybe hapa ndipo tunapaswa kujadili kidogo; tabia ya polisi ya kutumia mabavu kwa wananchi wanyonge na wasio na silaha zozote. It is unbecoming and a very uncivilised way of handling problems! Halafu tunategemea hawa wanafunzi baadaye wakiwa viongozi waheshimu misingi ya demokrasia ya uhuru wa kujieleza, kukusanyika, kuandamana, etc?
Na wewe ndio hukosea zaidi, kila kitu kiendacho kinyume na lengo la masikio yako basi ni cha CCM...! Namna gani mdada!
Poleni sana, mgomo mwisho wake huwa haya. I hope hakuna aliyeumia zaidi ya kulia. Ndio kupata haki, mara zote hupiganiwa inapobidi.
Bwana Waga hivi hao viongozi waliosimamishwa masomo walifanya vitendo vya kihalifu kiukweli au wanasingiziwa? Je Serikali ya wanafunzi ili ubariki huu mgomo wa leo? Kama hawakubariki mgomo ndio kusema kuwa hao viongozi ni wasaliti au wanakubali kuwa wanafunzi waliosimamishwa masomo walipaswa kusimamishwa? Bado nina maswali mengi kuliko majibu
Tafadhali mama Na Dada pataneni.
Maanake mkitofautiana sana ndani hapanogi,lakini najua ni tofauti kwenye hoja tu.
Huyo mkandala ni kibaraka.Kwanza unajua CCM wanamtumia mkandala ili kuepuka challenge kutoka kwa wasomi. Hata kama mtawakandamiza walioko hapo UDSM inabidi mjue mna shughuli pevu kukabiliana na pressure kutoka nje.
Jengeni hoja za nguvu kisha anzisheni movement kubwa ya amani. Hizo siku mbili mlizogoma kama madai yenu hayatasikilizwa muongeze ziwe siku tanao huku mkishinikiza kuwa ndani ya siku tano msiposikilizwa mtachukua hatua kali zaidi ya hizo ili liwe ni suala serious la kitaifa mtaungwa mkono na makundi mbali mbali ya jamii na hapo ndipo umma utambue pia mkandala ni mtu anaetishia uhai wa kisima cha fikra Tanzania
Kitila, wewe umeshawahi kujinyima kipande chako cha mkate na kumpa unayedhani kuwa ana njaa kisha akautia mchanga? Kama uliwahi kukutwa na hayo ulijisikiaje?It is not that simple Mamkwe. Binadamu haishi kwa mkate tu!
Hakuna uhalifu wowote waliofanya zaidi ya kudai haki zao. Msingi wa mgomo huu ni uongozi wa chuo kuingilia demokrasia ya wanafunzi wasomi kuchagua viongozi wao.
Huu ni uzembe na upuuuzi wa hali ya juu sana!
Kama kuna migomo mingi iliyokwisha fanikiwa ni vema wakarudia kwenye makablasha ya migomo hiyo ili kuweza kupata mbinu zilizo tumia. Kwani hadi sasa JF imeshindwa kutoa njia ya kuweza kufanikisha mgomo wao.Migomo mingi sana ya mlimani inafanikiwa
Wanafunzi wa UD, poleni sana kwa mnayopata lakini mnachopigania si bure. Watanzania wote wangekuwa na moyo kama huu basi leo hii tusingekuwa na Buzwagi, Richmonduli, vijisenti, kula nyasi, na mengine mengi.
Hakuna uhalifu wowote waliofanya zaidi ya kudai haki zao. Msingi wa mgomo huu ni uongozi wa chuo kuingilia demokrasia ya wanafunzi wasomi kuchagua viongozi wao.
Huu ni uzembe na upuuuzi wa hali ya juu sana!
Mimi kwa upande wangu hawa wanafunzi wa Chuo kikuu wa karne hii ni mabishoo waliojaa ubinafsi. Kuna ishu chungu nzima zinazogusa mustakabali wa nchi hii lakini hukuti hata siku moja wakizichambua na kuzitolea matatamko.
Wao kama wasomi wanaotegemewa na Taifa kuwa viongozi na watendaji, wanawajibu wa kuyachambua mambo muhimu kwa taifa hili kwa niaba ya watanzania wao ambao hawakupata nafasi hiyo. Hivi hawafahamu kuwa wakulima masikini wanawategemea wao kuwasaidia katika kuikosoa serikali kwa mambo mengi ya kijinga inayofanya??
Inanitia kinyaa kuona muda wote wapo kimya na wanapoona masuala yao yameguswa ndio wanaomba msaada kwa watanzania.
tena wakamatwe kweli!!! hawajui walichoendea pale chuoni
Mlimani pamechafuka sana na huo ni ukweli ila kitendo hiki kitakiweka chuo kwenye mazingira ya kufungwa.
Vijana wa uhandisi wameamua kujiunga rasmi kwenye maandamano ya leo na hapo ndio polisi waliitwa kuja chuoni ila bado wanajipanga kama nilivyosema jana .
Hakuna uhalifu wowote waliofanya zaidi ya kudai haki zao. Msingi wa mgomo huu ni uongozi wa chuo kuingilia demokrasia ya wanafunzi wasomi kuchagua viongozi wao.
Huu ni uzembe na upuuuzi wa hali ya juu sana!
Kitila, wewe umeshawahi kujinyima kipande chako cha mkate na kumpa unayedhani kuwa ana njaa kisha akautia mchanga? Kama uliwahi kukutwa na hayo ulijisikiaje?
Nina uchungu sana, mjukuu wangu yupo mwaka wa tatu, mitihani kanambia wataanza wiki mbili zijazo, kisha akifukuzwa inakuwaje? Nihangaike tena?
Mjukuu wangu huyu nimehangaika naye tangu vidudu, nimemsomesha, kesho kutwa naiona digrii hile, halafu alete ujinga?
Kuna rafiki yake Aggy kanipigia simu sasa hivi anasema huko polisi wanarusha mabomu na kuwa watu wameumia. Na huyu aggy hajui alipo. Hapa nilipo tumbo linawaka moto. Aggy mjukuu wangu hana simu.
242 said:"Kitila, chuo leo tumeingiliwa na FFU na mabomu ya machozi na bunduki. Nakuambia watu wengine wamezimia na kukimbizwa hospitali na ninasikia wengine wamevunjika miguu kwenye harakati za kukimbizwa. Mpaka sasa wako campus ni fujo tupu. Wengi wetu tumejifungia maofisini. Ilikuwa tishio kama vile tuko Irag. Chuo kilitetemeshwa na mabomu, wewe acha tu. Nasubiri kidogo nione kama nitaweza kukimbilia nyumbani. Kitila, sijui tunakoenda lakini ni aibu kwetu kabisa. Lazima tujirekebishe na kuthamini mawazo ya watu wengine hata kama ni maskini au watoto. We cannot develp critical thinking if we want to feed our children with what we want. Tuombeeni."
Mlimani pamechafuka sana na huo ni ukweli ila kitendo hiki kitakiweka chuo kwenye mazingira ya kufungwa.
Vijana wa uhandisi wameamua kujiunga rasmi kwenye maandamano ya leo na hapo ndio polisi waliitwa kuja chuoni ila bado wanajipanga kama nilivyosema jana .
Hilo la uongozi wa chuo nalielewa, au kwa vile ni Mtatiro yumo basi nisihoji chochote. Sitaki malumbano period!