Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,355
- 1,956
Na kwa taarifa tu ni kwamba Mukandara hajawahi kuwa hata head wa department Leo ni VC.
Wakijua hilo basi itakuwa rahisi wao kujieleza vema. Mkiona hoja yenu inajadilika na kwa kasi ya ajabu mwelewe kila mtu anaguswa na angependa kuona suluhu inapatikana.Usichojua wewe ni kwamba wana JF kibao hapa ni product ya UDSM na wanakijua chuo chao pengine kuliko nyie.
Mwe! Prof. Kithuku hapa umeua kweli kweli.
Dah, ukweli unauma... Labda kuna mwenye kuwa na madai yao kwa mapana yanayoonyesha kuonewa waziwazi.
UDSM Students: JF na wanachama wake hawataweza kuingizwa mkenge bila kujua madai yenu yakoje. Come out clean with your allegations and people will lead you into the right place.
Invisible
Na katika mawazo yote jaribu kutumia usomi wako kuchambua cha kukusaidieni. Connect the dots and you'll succeed. Wajibu wangu ni kukuombeeni kwa wadau wajaribu kuwapa namna mbadala za kupata suluhu ya tatizo lenu.
Great to have both of you here.
Invisible
Sasa wewe unatudanganya mchana kweupe kwamba Mukandara "hajawahi hata kuwa head wa department" halafu unategemea watu wawapeni msaada hapa? Tunajua Mukandara kabla hajawi VC alishashika vyeo kadhaa ikiwemo ukuu wa kitivo na idara. Sasa wewe kwa nini unataka sympathy kwa kutupa habari za uongo? Hapa JF uongo unachukiwa kama unavyochukiwa ufisadi. Sasa hebu rekebisha kwanza hili kabla hatujaendelea.
Mimi Niko Hall 6 Hapa Na Muda Mwingi Niko Hapa Eneo Hili Sasa Uliza Mtu Wowote Aliyekuwa Hapa Au Kule Yombo Atakwambia Wanafunzi Wamefanya Nini Kama Ni Uwongo Hawakujaribu Kuingia Katika Internet Cafe Moja Hapo Hall 6 Na Kurusha Mawe
Sisi Wote Tuko Udsm Sasa Wewe Sema Uko Eneo Gani Au Unaambiwa Tu Unakanusha ??
Labda amewahi kuwa dean lakini si UDSM. Idara aliyoiongoza ni REDET ambayo kila mtu anafahamu ipo kwa ajili ya nani. Na kwa taarifa sehemu kubwa ya wanafunzi hawamtaki huyu mtu kwa sababu analeta UCCM hapa chuoni.
Jamani eeh this is too much. Wanafunzi wameenda diamond lakini walioenda hawazidi 1000 na chuo kizima kina watu zaidi ya 10000. Na kwa taarifa na nina uhakikia kila mtu anafahamu kuwa Mukandara amewekwa pale na JK kwa manufaa ya chama kwa sababu wameshaona kuwa UDSM hawapati sapoti wanayoihitaji. Sasa wapo hao wachache ambao hawana tofauti na wote ambao wapo hata JF ambao ni Makada wa CCM. Ila wapo ambao lengo sio tu kuongezea posho bali kuhakikisha Huyo Mukandara anaondoka hapo alipo. Na kwa taarifa tu ni kwamba Mukandara hajawahi kuwa hata head wa department Leo ni VC.
Na hapo ndio tunahitaji msaada. Mahakamani it wont work.
Mwaka jana tulijaribu kusimamisha uchaguzi lakini kesi ikapangwa kuanza kusikilizwa wiki 2 baada ya uchaguzi. Tunajua hawa jamaa wapo everywhere ndio maana tunataka msaada kwa ambao wanauzoefu nao katika kupambana nao.
Heshima kwako mkuu,
Unajua wewe wakati mwimgine nakufananisha na wale vibaraka wa Makaburu enzi zile wasauzi wanapigania uhuru wao kutoka kwa makaburu wale waafrika ndio walikua mstari wa mbele kuwakatisha wenzao tamaa.
Hapo UDSM kuna uonevu wa kutisha na sasa kama ni mabadiliko ya nguvu lazima yaanzie hapo.
Vijana jengeni hoja za nguvu ambazo hata mkiziweka katika jukwaa la kimataifa zitakubalika hata ikiwa worse kufikia hatua za kuandikwa na vyombo vya habari vya kimataifa zionekane logic za kweli.
Kisha watengeni wale ambao wana uchungu wa kudai haki na wale waoga wachache ambo inawezekana uoga wao unatokana na kutokuelewa umuhimu wa mnachofanya.Kisha hilo kundi la ambao wanaogopa kugoma mtafute kijikamati kidogo cha watu wenye ushawishi mkubwa na wanaoweza kusikilizwa na makundi yote ya wanafunzi halafu wawashawishi kwa kukaa upande wao kwanza ili wafanane.Wawaeleze kwanza hasara za kugoma na kisha waombe sapoti ya hilo kundi kwa wale walio katika ari ya kugoma.Tarehe ya kuanza mgomo itangazwe rasmi na taarifa zipelekwe kwenye vyombo vya habari ikiambatana na maandamano ya nguvu lakini ya amani na yenye kila dalili ya kuwa hakuna kulala mpaka kieleweke.Mkishashinda hapa,mtakua mmekomaa kiasi ambacho mtaweza kushinikiza kufanyika kwa mambo makubwa ya kitaifa.
Msiogope polisi hata kidogo.Hata hivyo kama mtu hujui haki yako au kama hujui kwa nini unagoma ni bora usigome.
Tumieni Nguvu ya Umma
Mtu Analalamika Bila Kutaja Contact Zake Mimi Niko Udsm Sasa Napenda Kuonana Na Huyo Mtu Anayehitaji Msaada
Udsm Wanaohitaji Msaada Wawasiliane Na Mimi Niko Hewani Hapa Udsm 0784 360204 , 0713620278
Kumbuka Kutaja Jina Lako Halisi Na Ulipo Tutakufuata Tuongee Na Wewe Habari Hizo Zitapelekwa Katika Vyombo Vya Habari Na Waandishi Wa Habari Wengine
Ahsante
ANTIFISADI UKO MITAA GANI HAPA UDSM ? NAONA MAMBO YA WIRELESS HAYA KATIKA VILAPTOP
TUWASILIANE TUWEZE KUONANA NA KUONGEA KWA MAPANA
+255784 360204
Labda amewahi kuwa dean lakini si UDSM. Idara aliyoiongoza ni REDET ambayo kila mtu anafahamu ipo kwa ajili ya nani.