waziri yasini
Member
- Jul 1, 2013
- 15
- 2
ladies first....
wewe umesemakwaiyo waliotoa mizgo n ladies?
Tar 16...cbe waliachia mzigo...wakafuata mt meru university...bila kupoteza muda st joseph university...siku zikazid kwenda TIA...nao wakaona xo ishu wakatoa mzigo...bila kuchelewa jordan university ambalo n taw la saut nao wameachia jana....leo asubuhi arusha university nao wametoa admision zao....nazid kujiuliza hivi vyuo vinavyomilikiwa na serikali vinasubir nn....udsm..udom..sua..mzumbe...etc fanyen mambo bac
wanasubiri vilaza watangulie!
Tar 16...cbe waliachia mzigo...wakafuata mt meru university...bila kupoteza muda st joseph university...siku zikazid kwenda TIA...nao wakaona xo ishu wakatoa mzigo...bila kuchelewa jordan university ambalo n taw la saut nao wameachia jana....leo asubuhi arusha university nao wametoa admision zao....nazid kujiuliza hivi vyuo vinavyomilikiwa na serikali vinasubir nn....udsm..udom..sua..mzumbe...etc fanyen mambo bac
mbna airtel wametoa ulikuwa wap?airtel yatoshaa
ukiona hivyo ujue hamna kitu huko..vyuo vya kata ndio vina viherehere..umeona wapi chuo kinatangaziwa redioni wanatafuta wanafunzi??
ukiona hivyo ujue hamna kitu huko..vyuo vya kata ndio vina viherehere..umeona wapi chuo kinatangaziwa redioni wanatafuta wanafunzi??
As you knw mzumbe sua udsm udom vina admit watu wengi so process yake haiwezi kua sawa na jordan na vingine vidogo. "Mawazo yangu tu".
waambie,tukisema wengine twaonekana wakorofi
Hahahahaaa..huo ndio ukweli japo wenyewe wanakataa!!.kaka taratibu kaka! wakikucharukia wenyew mi simo! shauriyako
teh teh teh!... wanasemaga inaitwa damu ya kunguni!
lazima tuwape ukweli bhana.
Hahahahaaa..huo ndio ukweli japo wenyewe wanakataa!!.