UDSM UDSM UDSM wanataka nini UDSM

cye twasubiri matokeo.. hakyanani vyuo haviendi kalika... watu wana hasira mbaayaaa.. hasa vijana waliokosa mkopo huku kitaaa.. Nawaambieni hiiviii "patachimbika"..

watu wangapi?. Isijekuwa hisia zako unazihusisha na wanafunzi wote.
 
jaman pound Million 29.5 wapewe wanafunzi waliopewa mkopo
 
Mkwala tu huo. Logically, hakuna boom kama bado huja-register, na huwezi ku-register bila kulipa ada za chuo.

Wengi wa wanafunzi uwezo mdogo kipesa hivyo hutegemea pesa ya boom kulipa sehemu ya ada wanayodaiwa na chuo. Hata hivyo sio kiasi kikubwa mara nyingi kama HESLB wamewaingizia mapema, wengi pesa ya chakula kulipa na kufidia mbele ya safari.
 
msikute hapa kuna 'mapapeti' mtaumia...ohhooo
 
daaah ina maana kwenda bash canciro le mambo, kona bar mpaka uwe umregister kweli vyuo siku hz vnakua ka sekondari....haya mulipe kwanza sauwaaa afu fanyeni ile kitu ya kila mwaka siku mbili tu wananywea lazima wawape.....ila angalieni mcje mkaingizwa chuo na AURORA
 


Na bado, huwa wanajifanya mavazi ya kijani hawa. Mmepitwa na wakati chipkizi wa chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…