Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
wanafunzi hao wameonekana kwa warden wakichukua magodoro yao na na kuelekea hostel tayari kwa kufanya UE jumatatu..
Viongozi hao ni pamoja na wenyeviti wa mahall..
Swali ni je wamerudi jumla na kesi yao ya kuongoza mgomo usio rasmi imefutwa? Au ni danganya toto.
Pia nini hatima ya wale wengine ambao hawakua viongozi?
Viongozi hao ni pamoja na wenyeviti wa mahall..
Swali ni je wamerudi jumla na kesi yao ya kuongoza mgomo usio rasmi imefutwa? Au ni danganya toto.
Pia nini hatima ya wale wengine ambao hawakua viongozi?