UDSM vitanda adimu............

UDSM vitanda adimu............

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Gazeti la habari leo linatuhabarisha ya kuwa zaidi ya asilimia sitini ya wanafunzi wa Chuo Kikuu kikongwe kulikoni vyote cha UDSM kina ukosefu mkubwa wa vitanda vya kulalia wanafunzi.................hii ni moja ya changa moto zinazoukabili uongozi wa chuo hicho mbali ya uchakafu na uchache wa majengo, uwiano hafifu wa mwanafunzi na mwalimu..........n.k......................
 
Hii si habari! Ni hapo ndo wale viongozi wa wanafunzi kwa kushirikiana na baadhi watu wa USAB wanapoanzia ufisadi kwa kuuza vitanda kwa bei za ajabu!
 
Wacha walale chini ndio wakitia akili watajua wafanye nni
 
Back
Top Bottom