Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
1. Tofauti na ilivyozoeleka Kwa wasomi nchini ambao huchambua Kwa sisi Ngumbaru tusioelewa kuhusu Jambo la kitaifa.
2. Ila Kwa makusudi ndugu hawa wanaojiita wasomi wenye ma-PhD wameamua "kunyuti" kusubiria teuzi ambazo awamu hii zimekua adimu kwao.
NB: Poleni wa-Tanganyika.
**Wao mwaka mzima wanahangaika na maonyesho Kama ifuatavyo;
I. Januari - Sherehe ya kukaribisha mwaka mpya (UDASA Club),
II. Machi - Siku ya Wanawake duniani (vitenge Kama vyote), wiki ya maji,
III. April/Mei - Wiki ya utafiti
IV-Mei/Juni - MAKISATU,
V. Juni/Julai-Sabasaba,
VI. Agosti-Nanenane.
##Hivi Ile dawa Yao ya COVIDOL bado ipo?
££Gawio siku hizi hawatoi?
2. Ila Kwa makusudi ndugu hawa wanaojiita wasomi wenye ma-PhD wameamua "kunyuti" kusubiria teuzi ambazo awamu hii zimekua adimu kwao.
NB: Poleni wa-Tanganyika.
**Wao mwaka mzima wanahangaika na maonyesho Kama ifuatavyo;
I. Januari - Sherehe ya kukaribisha mwaka mpya (UDASA Club),
II. Machi - Siku ya Wanawake duniani (vitenge Kama vyote), wiki ya maji,
III. April/Mei - Wiki ya utafiti
IV-Mei/Juni - MAKISATU,
V. Juni/Julai-Sabasaba,
VI. Agosti-Nanenane.
##Hivi Ile dawa Yao ya COVIDOL bado ipo?
££Gawio siku hizi hawatoi?