Katufu UDSM itakuja haribiwa na general selection ya TCU, Wahadhiri wawe ngangari ili kuchuja pumba na mchele maana wanafunzi wengi kutoka Yeboyebo ni vilaza sana tofauti na awali ambap chuo kilikuwa kinachukua best of the best students.
Chuo kikuu cha Dar es salaam kimeshika namba 11 Afrika, ikiwa namba 1 Afrika Mashariki, huki Nairobi kikishika namba 14 au namba 2 A.M. Zaidi fungua link2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
Wekeni rankings za dunia hapa, acheni kushindanisha wachovu na wachovu wengine.
UDSM wameacha tabia yao ya kuweka postings zenye grossly poor grammar na impossibly grotesque spelling mistakes kwenye website yao?
Siwezi kuwachukulia seriously mpaka waache hilo kwanza.
kiranga marks za kwenda udsm ulikosa manaake mapovu yanakutoka!
Hiyo "rank" inakusaidia nini katika maisha yako ya kila siku?
Chuo kikuu cha Dar es salaam kimeshika namba 11 Afrika, ikiwa namba 1 Afrika Mashariki, huki Nairobi kikishika namba 14 au namba 2 A.M. Zaidi fungua link2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
kiranga marks za kwenda udsm ulikosa manaake mapovu yanakutoka!
chakushanga hao wanafunzi wanaotoka hapo ndo mafisadi wa nchi!
Ukiwakuta wenyewe wanavyowakoga wanafunzi wa vyuo vingine Tanzania.
Nilipata bahati ya kuwasikiliza madem wawili wanatambia "u-superstar" wao wa kusoma UDSM. Dizaini wamekuja mjini shule. wameletwa na vijiji vyao, judging from vikwapa vilivyokuwa vinatoa.
Hivi UDSM hamna hata basic hygiene standards?
Ukiwakuta wenyewe wanavyowakoga wanafunzi wa vyuo vingine Tanzania.
Nilipata bahati ya kuwasikiliza madem wawili wanatambia "u-superstar" wao wa kusoma UDSM. Dizaini wamekuja mjini shule. wameletwa na vijiji vyao, judging from vikwapa vilivyokuwa vinatoa.
Hivi UDSM hamna hata basic hygiene standards?
kwa jinsi mambo yanavyokwenda, hali ya udsm itazidi kuwa mbaya. Wahadhiri wamejikita kutafuta pesa kwa kufundisha vyuo chipukizi. Sijui huo mkakati unaouzungumzia wewe ni upi? Wahadhiri kujitokeza kwa wingi kwenye tv?
kinachozungumziwa n kwamba wana udsm 2najivunia kuwa wakareeee a.mash,na afriaka n wa 11,so ingekua n mtoto mdogo ameongoza darasa 2ngempa pipi cz anaonesha anashughulisha kichwa,najua wa2 ambao hamjapikwa katika jiko hilo(udsm)mtadc bt 2kumbuke kua mama ataendelea kua mama tu hata kama atakwatwa maziwa au kuwa kichaa...najivunia kuwa mwana udsm........