NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 408
Mimi nilichokiona ni kuwa hiyo taasisi qulification wanayotumia ni kuangalia umaarufu wa chuo hususani wakiangalia upande wa website yake. Ila hawatazami sifa au ubora wa elimu wa chuo husika. Kwa hiyo sijaona ubaya hapo.
Halafu watu tunapaswa tuelewe kuwa chuo kikuu chchote kina kazi 3 kuu ambazo ni Training,research and consultancy,kwa hiyo haitupasi kupima ubora wa chuo kwa kuangalia training capacity yake tu.
Halafu watu tunapaswa tuelewe kuwa chuo kikuu chchote kina kazi 3 kuu ambazo ni Training,research and consultancy,kwa hiyo haitupasi kupima ubora wa chuo kwa kuangalia training capacity yake tu.