UDSM yashuka kwenye list ya 'Top African universities'

Tatizo hizi ranks zinatofautiana, hatujui tumwamini yupi...ila tutabaki kuamini kuwa tunashuka!

Unajua kila rank hupangwa kulingana na vigezo mbalimbali, kwa mfano kuna baadhi ya rank hutolewa kwa kuangalia idadi ya watu wanaotembelea website ya chuo, vigezo vingine ni kama idadi ya walimu, output/publications zinazotolewa na Lecturers/profesors, n.k
 

ww unalako jambo, acha generalization za ajabu ajabu hapa walimu wana ukimwi na wasichana ni makahaba ulikuwa nao kwny ukahaba? kama wazalendo tunatakiwa tutoe mawazo ya kusaidia sio kuwa na fikra za kupeleka watoto wetu nchi zingine, na hao wasiokuwa na uwezo wa kupeleka watoto wao nje wafanyeje? watu wengine bwana aggrrrrrrr!
 
[TABLE="width: 766"]
[TR]
[TD="width: 16"][/TD]
[TD="colspan: 3"]kwa takwimu zao kwa tz udsm ni cha kwanza,vyuo ambavyo havipo kwenyo hiyo rank hapo chini kwa tz maana yake in world wide vipo kuanzia rank ya 12,000 na kuendelea.
[TABLE="width: 570"]
[TR]
[TD][TABLE="width: 570"]
[TR]
[TD="width: 570, colspan: 3"]

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 1, align: right"]

[/TD]
[TD="width: 570, bgcolor: #eeeeee"]


Rank of Universities of Tanzania, United Republic of
[/TD]
[TD="width: 1, align: right"]

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 570, colspan: 3"]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 570"]
[TR]
[TD][TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="class: nav6a, colspan: 7, align: right"]First | Previous | Next | Last | Universities 1 to 6 of 6
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 3"][/TD]
[/TR]
[TR="class: bs5"]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 4"]POSITION
[/TD]
[/TR]
[TR="class: bs5"]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 2"][/TD]
[TD="bgcolor: #cecece, colspan: 4"]

[/TD]
[/TR]
[TR="class: bs5"]
[TD]WORLD RANK
[/TD]
[TD]UNIVERSITY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]SIZE
[/TD]
[TD]VISIBILITY
[/TD]
[TD]RICH FILES
[/TD]
[TD]SCHOLAR
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 2"][/TD]
[/TR]
[TR="class: nav6a"]
[TD]3438
[/TD]
[TD]University of Dar Es Salaam
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]2,589
[/TD]
[TD]4,395
[/TD]
[TD]3,962
[/TD]
[TD]4,024
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 7"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: nav6a"]
[TD]8427
[/TD]
[TD]Sokoine University of Agriculture
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]7,901
[/TD]
[TD]8,211
[/TD]
[TD]8,990
[/TD]
[TD]7,229
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 7"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: nav6a"]
[TD]8819
[/TD]
[TD]Hubert Kairuki Memorial University
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]6,113
[/TD]
[TD]8,872
[/TD]
[TD]13,382
[/TD]
[TD]6,048
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 7"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: nav6a"]
[TD]9335
[/TD]
[TD]Open University of Tanzania
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]9,430
[/TD]
[TD]11,149
[/TD]
[TD]6,533
[/TD]
[TD]7,229
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 7"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: nav6a"]
[TD]10107
[/TD]
[TD]Mzumbe University
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]5,903
[/TD]
[TD]11,877
[/TD]
[TD]12,286
[/TD]
[TD]7,229
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 7"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: nav6a"]
[TD]11191
[/TD]
[TD]Muhimbili University College of Health Sciences
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]12,641
[/TD]
[TD]10,885
[/TD]
[TD]9,048
[/TD]
[TD]7,229






[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Nilisoma UDSM Bsc In Umeme, wakati nikiwa high school nilitamani sana kufika chuo kikuu na nilikuwa na mategemeo makubwa ambapo nilipofika mambo yalikuwa tofauti kabisaaaa. Four years later, nimemaliza UDSM nikapata kazi mkoa na baadae nikaamua kutafuta nafasi nikasome zaidi!! Cha ajabu naongea kile ninachokiona, yale mambo nilikuwa nategemea kuyaona nilipokuwa UDSM sasa ndo nayaona, the university train student how to think critically siyo kukimbia kimbia tu.

Back to UDSM, Kuna shida nyingi sana ambazo admnistration hawataki kushughulika!! Ili uwafanye watu wasome, wafundishe, wazalishe, wafikirie critically basi huna budi kuboresha mazingira ya utolewaji wa taaluma.
1)UDSM hilo ni kinyume chake, utakuta vyoo vinanuka, havina maji, ofisini vumbi hadi utando, pazia za ofisini zina miaka 5 - 10 bila kubadilishwa na huweza kukaa hata mwaka mzima bila kufuliwa - Source: Mimi mwenyewe nimejionea et al.

2) UDSM haiwajali wafanya kazi wake, Prof and Dr. in some departments, hawa watu wanahitaji ofisi pamoja na Laboratory kwa ajili ya kutrain graduates students, kinyume chake wameachwa hivyo hivyo na kinachofanyika ni kikundi cha watu wachache wanaweza kujianzishia kamradi ka course fulani ya graduate ili kuendeleza knowldge zao huku wakiwa busy kufundisha vyuo vingine. - Source: Some staff from UDSM.

3) Hostels na Nyuma za walimu: Ukisikia UDSM na vyuo vingine vya Tanzania, its cracking!! watu wanabebana,mijitu ya miaka 22 - 40 wanalaa kwenye 4 by 4 watu wawili kweli, kwenye chumba cha kulala watu 2 wanalala hadi 5, its too bad. Huwezi kuconcetrate na kusoma, utasoma darasani mchana!! sometimes unahitaji kupumzika, ukienda room unakutana na room mate wamelala au wanasoma, au ratiba zinatofautiana, hapo elimu haiendi. Very frustrating university. Walimu ndo usiseme.

UDSM have to change, tena wasingeacha hiyo tabia ya kutoajiri walimu, chuo kilikuwa kinapotea kabisa kwenye ramani.
 

Mkuu hapo kwenye 4 by 4 ongeza 2 by 4 na kwenye red nyingine hapo ongeza neno "EXILE" wadau watajua tu.
 
<br />
<br />
wewe umegraduate udsm hpi? Udsm haichukui wanafunzi wenye div 3 kama wewe! Chuo chako ulichosoma kimekuwa cha ngapi? Ukitaka kujua vichwa vya udsm ni noma nenda Law school na NBAA then utajua wanaopata uwakili na CPA wengi wametoka wapi.
 
<br />
<br />

Hizi rankings nyingine ni utata mtupu. Mwezi machi iko top 25, mara sasa ya 38! Hata academic year haijaisha. Kabla watu hawajaanza kutoka povu mdomoni, ni vizuri ukaangalia vigezo wanavyotumia kufanya ranking.
Nakumbuka miaka kama minne au mitano iliyopita UDSM kilikuwa juu baada ya vyuo vya South Africa kwa ranking za hawa hawa jamaa (nimesahau namba gani, na wala sihitaji ku google).
Binafsi ningedhani ranking zafanywa kila mwaka na si kila baada ya miezi. Sasa hizi rankings zitaanza kuwa sawa na za michezo kama ya klabu za mpira wa miguu.
 
<br />
<br />
Kwahiyo wewe unavyoona vyuo vya Nigeria vmeshuka bas hata hata udsm ikishuka poa2 alimrada inashka namba moja TANZANIA eti eeh mwana udsm!! Nabado hiyo ni Afrika. Mtaanza kushuka hadi kitaifa na hicho kpindi hakiko mbali, Kama wwe uliyetoa hii coment ni mu-udism!!! Ila nisikuvunje moyo eti, hongera kwa kuongoza tz. Hi hi hi hiii....
 
Mkuu mashzo your right, bongo hakuna elimu nowdays tunabebana tu tupate vyeti, tunajidai wasomi but tukikutana na watu waliosoma majuu
tofauti inaonekana kwenye productivity, mimi pia nina experience ya kutosha na elimu ya kibongo, nimesoma mzumbe and now nasoma udsm
business school, yanayochangia kushusha elimu yetu nii mengi sana tukianza na yafuatayo
1. Goverment ni adui namba moja katika kuua elimu ya tanzania kwa kutumia HESLB na TCU
2.Wanafunzi hatutaki kubadilika na kukubali ukweli zaidi ya ubishi tu kwamba chuo changu ni bora wakati hamna kitu zaidi ya kudesa
3.Siasa hasa hasa za magamba na magwanda vyuoni plus mabishano ya manchester na chelsea all time hadi kwenye lecture

mwisho kabisa namalizia jina la chuo chako usitegemee kama litakubeba kwenye competitive market kama productivity hamna kitu, nikianza na chuo changu MZUMBE, na vinginevyo like UDSM, TUMAINI, SAUT, IFM na vinginevyo vyote ni magumashi hakuna wa kumcheka mwenzake, zaidi ni kufikiria tufanyeje tuweze kubadilisha hii hali maana inapoelekea pabaya sana
 

Nimewai kuzungumza hapa JF kuwa nakereka na thread zinazoletwa na baadhi ya watu wanaolinganisha vyuo vyetu...Mfano Mzumbe v/s UDSM nani zaidi,UDOM v/s UDSM nk...Tuna tatizo la msingi kwenye elimu kwa ujumla,tangu Primary mpaka elimu ya juu..sio muda wa kuleta ushabiki wa UDSM na Mzumbe au UDOM..ni wakati wa kuchunguza tatizo ni nini? Mathalani,wahadhiri wengi wanakimbilia kwenye siasa mfano Prof Mwakyusa,Prof Mwandosya,Dr Mwakyembe,Prof Msola,Prof Maghembe nk kuwataja kwa uchache sana.Ni wazi elimu ya juu itashuka na vyuo vyetu vitageuka mahala pa kukusanya vijana kwa ajili ya anasa,uhuni nk.....Turudi nyuma tujipime,tuone wapi tulipotoka na turudi kwenye mapito ya zamani............
 
I dont think that there is a reason of having this discussion! It is real absurd kugombea fito while tunajenga nyumba moja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…