Tatizo hizi ranks zinatofautiana, hatujui tumwamini yupi...ila tutabaki kuamini kuwa tunashuka!
Umesahau kwamba ualimu ni WITO!!!
chuo kikuu cha udsm ni takataka.hata hiyo namba wamepewa bahati mbaya.nilisoma hapo LAW SCHOOL NILICHOONA NI AIBU TU.VYOO VIBOUU na miundo mbinu ni ya miaka ya sabini.walimu wana roho mbaya kwa sababu ya umaskini na ukimwi.na wanafunzi wa kike makahaba.mtoto wangu atasoma ulaya,south africa au vyuo binafsi. UDSM NI UCHAFU.
Nilisoma UDSM Bsc In Umeme, wakati nikiwa high school nilitamani sana kufika chuo kikuu na nilikuwa na mategemeo makubwa ambapo nilipofika mambo yalikuwa tofauti kabisaaaa. Four years later, nimemaliza UDSM nikapata kazi mkoa na baadae nikaamua kutafuta nafasi nikasome zaidi!! Cha ajabu naongea kile ninachokiona, yale mambo nilikuwa nategemea kuyaona nilipokuwa UDSM sasa ndo nayaona, the university train student how to think critically siyo kukimbia kimbia tu.
Back to UDSM, Kuna shida nyingi sana ambazo admnistration hawataki kushughulika!! Ili uwafanye watu wasome, wafundishe, wazalishe, wafikirie critically basi huna budi kuboresha mazingira ya utolewaji wa taaluma.
1)UDSM hilo ni kinyume chake, utakuta vyoo vinanuka, havina maji, ofisini vumbi hadi utando, pazia za ofisini zina miaka 5 - 10 bila kubadilishwa na huweza kukaa hata mwaka mzima bila kufuliwa - Source: Mimi mwenyewe nimejionea et al.
2) UDSM haiwajali wafanya kazi wake, Prof and Dr. in some departments, hawa watu wanahitaji ofisi pamoja na Laboratory kwa ajili ya kutrain graduates students, kinyume chake wameachwa hivyo hivyo na kinachofanyika ni kikundi cha watu wachache wanaweza kujianzishia kamradi ka course fulani ya graduate ili kuendeleza knowldge zao huku wakiwa busy kufundisha vyuo vingine. - Source: Some staff from UDSM.
3) Hostels na Nyuma za walimu: Ukisikia UDSM na vyuo vingine vya Tanzania, its cracking!! watu wanabebana,mijitu ya miaka 22 - 40 wanalaa kwenye 4 by 4 watu wawili kweli, kwenye chumba cha kulala watu 2 wanalala hadi 5, its too bad. Huwezi kuconcetrate na kusoma, utasoma darasani mchana!! sometimes unahitaji kupumzika, ukienda room unakutana na room mate wamelala au wanasoma, au ratiba zinatofautiana, hapo elimu haiendi. Very frustrating university. Walimu ndo usiseme.
UDSM have to change, tena wasingeacha hiyo tabia ya kutoajiri walimu, chuo kilikuwa kinapotea kabisa kwenye ramani.
<br />Una hasira na muhimbili. NI KWELI HUWEZI KULINGANISHA MUHIMBILI NA UDSM, MUHAS WAKO JUU SANA KWENYE PRACTICAL ISSUES. KINGINE NI SUA, HUWEZI KULINGANISHA ELIMU WANAYOPATA WATU WA SUA & MUHAS NA WADESAJI WA UDSM. UDSM NI JINA TUU BUT PRACTICALLY IT IS A CRAP.HAKUNA KITU PALE NI SIASA TUU, UKIMWI, MISONGAMANO YA WANAFUNZI, ELIMU YA CHINI KABISA, VYOO VICHAFU, LECTURERS WABABAISHAJI NA WANAFUNZI PIA. HUO NDO UKWELI WOTE. Kumbuka I am also a graduate wa pale
<br />habari zenu wakuu,mwaka huu mwezi wa tatu udsm ilikuwa 25 kwenye best universities in africa ila list mpya ya july udsm imeshuka vibaya sana mpaka 38 <br />
<br />
angalia hapa <a href="http://www.webometrics.info/top100_continent.asp?cont=africa" target="_blank">Ranking Web of World universities: Top Africa</a><br />
<br />
je wadau tuishauri nini serikali yetu ili kuboresha vyuo vyetu?<br />
<br />
mimi binafsi namalizia bachelor yangu ya telecommunications & computer science engineering hapa europe,hiki chuo ninachosoma 4 years ago wakati naanza kusoma kilikuwa miundo mbinu yake mizuri ila sio sana ila katika kipindi hiki cha miaka minne wameboresha kila kitu kuanzia majengo ya kufundishia,kuongeza waalimu,kozi mpya nyingi sana zimeanzishwa,mabweni ya wanafunzi yameboreshwa sana,student exchange program imeboreshwa zaidi yaani mamia ya wanafunzi wanakuja na wengine kwenda nchi mbalimbali kubadilishana ujuzi na serikali yao ndio inalipia gharama zote hizo.<br />
<br />
yaani ndani ya miaka minne hii kwa kweli nikiwaangalia roho inauma sana, sijui serikali yetu hawawezi kuiga mambo kama haya,dah tanzania bado tuna safari ndefu sana kwa kweli
<br />Where is Mzumbe, Tumaini, UDOM and SUA?
<br />Tatizo lako ni hicho chuo cha saint kayumba ulichosoma 1st degree kwa kubebwabebwa ukitegemea mtelemko hapa udsm.pole sana kaka udsm mziki mnene hakuna kubebana kama huko kwenu. Usitake watu waamini ukilaza wako.je chuo ulichosoma nicha ngapi africa na duniani?mbona vyuo vitatu nigeria vimeshuka kwa nafasi zaidi ya kumi hamjasema.tatizo lenu kushindwa kuja udsm kwa ukilaza wenu kunawasumbua na hataki kuamini kuwa hiki ndo chuo mama cha taifa kwa kila kitu.najua ulitegemea kupata gpa ya 5 kama huko saint kayumba ndo maana unawponda maprof baada ya kunusurika kufeli.pole sana kaka udsm haifananishwi na chuo chocote tanzania.''we are the cream of the country'
habari zenu wakuu,mwaka huu mwezi wa tatu udsm ilikuwa 25 kwenye best universities in africa ila list mpya ya july udsm imeshuka vibaya sana mpaka 38
angalia hapa Ranking Web of World universities: Top Africa
je wadau tuishauri nini serikali yetu ili kuboresha vyuo vyetu?
mimi binafsi namalizia bachelor yangu ya telecommunications & computer science engineering hapa europe,hiki chuo ninachosoma 4 years ago wakati naanza kusoma kilikuwa miundo mbinu yake mizuri ila sio sana ila katika kipindi hiki cha miaka minne wameboresha kila kitu kuanzia majengo ya kufundishia,kuongeza waalimu,kozi mpya nyingi sana zimeanzishwa,mabweni ya wanafunzi yameboreshwa sana,student exchange program imeboreshwa zaidi yaani mamia ya wanafunzi wanakuja na wengine kwenda nchi mbalimbali kubadilishana ujuzi na serikali yao ndio inalipia gharama zote hizo.
yaani ndani ya miaka minne hii kwa kweli nikiwaangalia roho inauma sana, sijui serikali yetu hawawezi kuiga mambo kama haya,dah tanzania bado tuna safari ndefu sana kwa kweli