kwa ripoti niliyopata kutoka kwa profesa mmoja wa UDSM ni kuwa katika ranking za vyuo bora Afrika kwa kuwa nafasi ya tatu na siyo sita kwa South Africa kuwa mbele kwa nafasi mbili zaidi za juu,na akadokeza kuwa ilitakiwa tuwe wa kwanza ila watu wanavyotumia vigezo vya kupanga ranking ni vya kishamba lakini kitaaluma tuko juu.
Malengo ya kuanzishwa hivi vyuo yaani coet na dit/AIT/MIST ni tofauti kabisa mkuu, jaribu kufuatilia utaelewa nini namaanisha.
jamani mnanikumbusha tulivyoingia chuo kipindi kile mara oh UDSM IS THE PLACE TO BE, MABIBO HOSTEL IS HALF LONDON,MARA OH UKIWA UD FULL SAKAFU HADI CHUMBANI,ila ukweli ni kwamba UD ina miundo mbinu mbovu sana vyoo vinakosa maji ata wiki kuna kipindi madent wanatoka main campus wanaenda kuoga mabibo hostel and vice versa, lecture room aziendani na idadi ya wanafunzi,chakula kibovu sana,usalama wa wanafunzi na mali zao ni finyu kwa leo naishia hapa yapo mengi nyuma ya chuo changu pendwa.
najua ww moes imekuuma kwa sababu uko sekomu,right ungejua usingepost hata kidogo,km huna cha kuongea kaa kimya,hapa ni kwa ajili ya wanaUDSM tu kwa kupost na si vinginevyo
kwa ripoti niliyopata kutoka kwa profesa mmoja wa UDSM ni kuwa katika ranking za vyuo bora Afrika kwa kuwa nafasi ya tatu na siyo sita kwa South Africa kuwa mbele kwa nafasi mbili zaidi za juu,na akadokeza kuwa ilitakiwa tuwe wa kwanza ila watu wanavyotumia vigezo vya kupanga ranking ni vya kishamba lakini kitaaluma tuko juu.
Nadhani hapa umemaliza kila kitu, utabaki ubishi tu toka kwa watani!
Fundi mchundo na injinia wapi na wapi!Ila coet haitakuja ione ndani kwa d.i.t,,,,,,since 1957 d.i.t has been the best,,