haswaaaa....Kitaaluma mpo juu? contribution yenu katika medani za akademia ni nini? maprofesa wenu wamegundua nini? wameandika vitabu vinavyosomwa na mataifa mangapi duniani? student lecturer ratio ikoje hapo mlimani? ubora wa utafiti mnaofanya hapo mlimani ukoje? usikurupuke. fanya utafiti kwanza.
nyangi ma.a mbona mbishi kama dagaa,shut your mouth
we dogo acha ushamba mjn umekuja juz leo unajitia kburi.vyuo vya kata ndo vp!kaa usome acha kelele.poor u.vyuo vya kata afu degree zenu mnapewa tu mezani,uje UDSM shule ni ngumu,nahisi ungedisco first semester
ndo mana umepelekwa kampala university baba erne[/QUOT
loading.....
kwa ripoti niliyopata kutoka kwa profesa mmoja wa udsm ni kuwa katika ranking za vyuo bora afrika kwa kuwa nafasi ya tatu na siyo sita kwa south africa kuwa mbele kwa nafasi mbili zaidi za juu,na akadokeza kuwa ilitakiwa tuwe wa kwanza ila watu wanavyotumia vigezo vya kupanga ranking ni vya kishamba lakini kitaaluma tuko juu.
kwa ripoti niliyopata kutoka kwa profesa mmoja wa UDSM ni kuwa katika ranking za vyuo bora Afrika kwa kuwa nafasi ya tatu na siyo sita kwa South Africa kuwa mbele kwa nafasi mbili zaidi za juu,na akadokeza kuwa ilitakiwa tuwe wa kwanza ila watu wanavyotumia vigezo vya kupanga ranking ni vya kishamba lakini kitaaluma tuko juu.