pemgtoonet.com
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 879
- 618
bora uwatafute kwenye list ya selected students hasa skuli uliyo soma olevel..... au 2mia marafiki wako wengine kutafuta..... humu ndani magumashi 222222.........Mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili udsm,natafuta first year wa kunibeba. Awe binti kwasababu nami ni binti. Semester ya kwanza nalipia ROOM yote mimi. Ni pm kwa aliye tayari.
nashukuru mdau kwa ushauri...maana kuna kuna wakurupukaji wengi siku hizi humu.bora uwatafute kwenye list ya selected students hasa skuli uliyo soma olevel..... au 2mia marafiki wako wengine kutafuta..... humu ndani magumashi 222222.........
Nyie hii tabia ya kubebana acheni maana mashoga wengi na wasagaji hicho ndo chanzo chake dk ndondi kashawatibu wanafunzi wengi sana hapo udsm hasa hapo mabibo hosteri au upumbafu acheni kwa kisingizio kubebana hasa nyie mnaotafuta watu wa kubebana
niliwah kuweka thread NATAFUTA KUBEBWA mpaka leo cjapata,yeyote mvulana 1st year ani PM au 0685733122 magumashi tuache wana JF
Nyie hii tabia ya kubebana acheni maana mashoga wengi na wasagaji hicho ndo chanzo chake dk ndondi kashawatibu wanafunzi wengi sana hapo udsm hasa hapo mabibo hosteri au upumbafu acheni kwa kisingizio kubebana hasa nyie mnaotafuta watu wa kubebana
Mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili udsm,natafuta first year wa kunibeba. Awe binti kwasababu nami ni binti. Semester ya kwanza nalipia ROOM yote mimi. Ni pm kwa aliye tayari.
upo program ipi sodoka.
jamani me nimechaguliwa hapo udsm but hizo habari za hostel ndo sijui chochote in short sijajua hata pakuanzia...msaada 2nd year students:A S-key:
habari...!!mimi nmechaguliwa hapo though sijui kama ntapangwa mabibo NIPO TAYARI KUNUNUA. NI PM
Kwa 1st year lazma utapata rum,,usipanic