Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Hapo kazinguaUpo sahihi mkuu ila tatizo lipo kwenye uwasilishaji,
Sidhani kama ni sahihi kusema kua kijana ''Utaolewa''
au alikua ana maanisha nini kwa kusema hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kazinguaUpo sahihi mkuu ila tatizo lipo kwenye uwasilishaji,
Sidhani kama ni sahihi kusema kua kijana ''Utaolewa''
au alikua ana maanisha nini kwa kusema hivyo?
Kipi bora kuuza uduvi kwa kijana wa kiume au kuacha kuuza uduvi na kuwa panya road, mwizi, shoga n.k? Hivi nyie viongozi wa serikali mnataka nini? Mnahamasisha watu wajiajiri wakati nyie mmeajiriwa halafu wakishajiajiri mnawabeza kwa ajira zao eti unauza uduvi? Huyo anayeuza uduvi akija nyumbani kwa mkuu wa mkoa kila asubuhi atahudumiwa chai? Mchana atahudumiwa chakula cha mchana? Na jioni je, atahudumiwa chakula cha jioni? Viongozi acheni unaa. Mkishakalia hivyo viti msifikiri ndio mmemaliza kila kitu. Kuna maisha nje ya ukuu wa mkoa. Shubhaamit!View attachment 3189186
Watu wa Daslamu mna mambo mengi sana. Huu uduvi anaoubeza MKuu wa Mkoa ni kitu gani? Kuna mwanaJF humu anauza uduvi?
Ungesema watoto wa kamba (shrimp) ungeeleweka vizuri zaidi.Watoto wa samaki.. Ama samaki mbegu fupi(mbilikimo) watoto njiti wa samaki kwa jina lingine
Uwasilishaji wa namna hii ndio mzuri, ujumbe unamfikia mlengwa katika njia ya kuchoma kumoyo.Upo sahihi mkuu ila tatizo lipo kwenye uwasilishaji,
Sidhani kama ni sahihi kusema kua ''Kijana wa kiume kuuza uduvi utaolewa''
au alikua ana maanisha nini kwa kusema hivyo?
Huu ni uongo ,uduvi sio dagaa nyamaDagaa nyama wanaitwa hivyo
Sawaaaaa
Good! Dagaa ni dagaa na nyama ni nyamaHapana, dagaa nyama ni dagaa mchele,uduvi ni wale kamba wadogo.
Ungesema watoto wa kamba (shrimp) ungeeleweka vizuri zaidi.
Aina gani ya samaki sasa?Hapana ni watoto wa samaki waliobemendwa